Kwa mujibu wa @sportsarena_tz Medeama wakiwa ugenini ni maharage ya Mbeya. Yani moto kidogo yashalainika. Tangu 2016 hawajawahi kushinda mechi yoyote ugenini. Pigia mstari tangu 2016. Yani miaka 7 watu wanajipigia tu
. Hawa hata ukiwapa Namungo wanapiga kama ngoma, ili mradi mechi ichezwe ugenini. Medeama ni "chips funga" wa klabu bingwa. Kila boya anapiga