Vituko kwenye mahusiano

Half american

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
45,075
Reaction score
111,682

Hakuna ugomvi wowote mpenzi wako anakutumia ujumbe kama huo. Upepo wa december mtu anahitaji likizo
nmecheka sana hiki ni kituko cha aina yake kwenye mahusiano.
Share kituko ambacho umewahi kukutana nacho kwenye mahusiano badala ya kuhuzunika ukacheka.
 
hahahah...ukubwa kazi aisee...hahah
 
mwambie ajaze form umpe tuu hiyo likizo
 
Wenye mahusiano mkuje huku, mnaitwa hataka San.
 
Mwambie umempa hiyo likizo,
Ila ni likizo ya kuretire, akirudi arudi na madai ya mafao yake, kwa sababu atakuwa ameshakuwa replaced.
 
Mwambie umempa hiyo likizo,
Ila ni likizo ya kuretire, akirudi arudi na madai ya mafao yake, kwa sababu atakuwa ameshakuwa replaced.

Hahaha ameanza kupiga simu
naona anajitekenya na kucheka mwenyewe
 
Huyo My wako kila siku anaomba kupigiwa kudadeki mwambie umempa likizo isiyo na malipo miaka 2 akajifunze upya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…