Vituko corona vijijini

Kwa hyo mtu kutoongea na wewe ana uelewa????
Hatua zinasema kuwa mtu anawe mikono,na kutoshikana..ila maongezi ya kawaida hayana shida sio kukimbizana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Maongezi ya kawaida hayana shida mkiwa ukaribu wa kiasi gani? Au unafikiri mask Ni ya kazi gani? Bahati yetu Tz hatujaambukizwa kwa wingi kama nchi nyingine, watu wanaambiwa wasitoke nje, huko kuongea unakokushadadia kutatoka wapi? Mkisimama katika kundi muache nafasi ya miguu 6 kati ya mtu na mtu, ni tahadhari tu, ukipata mtu au watu wanaokubaliana na unayoyataka, endelea, uzuri kwa Tz waliothibitika ni chini ya 10, na kuna uwezekano usienee kote, lakini bila ya kufuata maagizo ya wataalamu, wote tunaweza athirika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajuaje kama hauna Corona wala nini (umepima) na kama umepima hauna sisi tutajuaje ?, Probability inakwambia watu waliotoka sehemu zenye huu ugonjwa ndio wana uwezekano (uwezekano sio kwamba wanao) mkubwa kuwa nao.., sasa unataka wacheze kamali na maisha yao ?

Kuwa muoga kama Kunguru upate kuishi maisha marefu....
Maneno ya mwisho nimeyapenda.


Lakini mkuu hata kama probability ni kubwa! Sio kwa kukimbiana asew..inahitajika tupunguze uoga muda mwingine Chief

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unatokea DSM unapanda gari za kwenda Bagamoyo, Ukifika Bagamoyo unachukua gari za Kiwangwa kuja Fukayosi shule. Ukifika Fukayosi Shule chukua pikipiki mwambie dereva akupeleke Kijiji cha Mashauzi..!

Ilani(Risks): kipindi cha mvua barabara inaharibika sana, kuna ishu ya urasmishaji ambayo bado haijakaa sawa na ng'ati.

Karibu Mkuu.

Ahsante mkuu kwa kumuelekeza muhusika vzr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah!! Sikujua kwamba vijijini somo la Coronavirus limewaingia vema namna hii! Hawa somo limewaingia vizuri kuliko serikali ambayo hapo kabla ni kama waliodhani Coronavirus haiwezi kuingia Tz!!

Hamna namna, hao watu wa vijijini waendelee tu kuwatimulia vumbi nyama nyinyi! Mnadhani wamesahau mlivyokuwa mna-export Ngoma toka mjini na kwenda kuwadondoshea jumba bovu huko vijijini!!! Kama nyie wengine Mikorona yenu mnaipata baada ya kupanda ndege halafu mje kutumwagia wengine ambao hata hiyo ndege yenyewe tunaishia kuiona ikiwa angani tu!!!
Watu uoga umewazidi snaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maongezi ya kawaida hayana shida mkiwa ukaribu wa kiasi gani? Au unafikiri mask Ni ya kazi gani? Bahati yetu Tz hatujaambukizwa kwa wingi kama nchi nyingine, watu wanaambiwa wasitoke nje, huko kuongea unakokushadadia kutatoka wapi? Mkisimama katika kundi muache nafasi ya miguu 6 kati ya mtu na mtu, ni tahadhari tu, ukipata mtu au watu wanaokubaliana na unayoyataka, endelea, uzuri kwa Tz waliothibitika ni chini ya 10, na kuna uwezekano usienee kote, lakini bila ya kufuata maagizo ya wataalamu, wote tunaweza athirika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok mkuu

Ila hili gonjwa kumbe taarifa zinaenea kuwa ni mafua makali tuu! Cha muhimu ni good health yenye immunity

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ahsante mkuu kwa kumuelekeza muhusika vzr

Sent using Jamii Forums mobile app

😂😂😂😂

Sema Mkuu Haya machimbo tunakaa wachache sana..! Sidhan kama Mkuu Fyddell will make it..

Hata Serikali huwa inatimba kwa kubeep sana..

Ukiwa huku kuzozana na Serikali juu ya kufunga mipaka ni kusindikiza wadau tu..!

Maana ni kama tupo kwenye kanchi kanako jitegemea kenye mipaka ya asili isiyotikiswa kizembe..

Tunaendelea kufuatilia sakata la hapo Tz kwa karibu kabisa. Poleni, naona faili zinazidi kuchomolewa kutoka zilipowekwa..😂
 
Unashangaa hiyo? Denmark hauruhusiwi hata kutoka nje ya nyumba yako...askari wametapakaa nje wanapulizia madawa...

groceries n.k unaagiza online na hata yule anayedeliver hauonani nae..yeye anafika anaweka nje ya mlango wako anaondoka

Shule wanasoma online saivi. Lakini kwasababu ni wazungu hauwez kusema ni "washamba"
Mkuu siyo kweli. Kila siku natokanje. Siyo kila kitu kwenye Google ni kweli
 


Sema Mkuu Haya machimbo tunakaa wachache sana..! Sidhan kama Mkuu Fyddell will make it..

Hata Serikali huwa inatimba kwa kubeep sana..

Ukiwa huku kuzozana na Serikali juu ya kufunga mipaka ni kusindikiza wadau tu..!

Maana ni kama tupo kwenye kanchi kanako jitegemea kenye mipaka ya asili isiyotikiswa kizembe..

Tunaendelea kufuatilia sakata la hapo Tz kwa karibu kabisa. Poleni, naona faili zinazidi kuchomolewa kutoka zilipowekwa..
Hahaha
kwamba “Ukiwa huku kuzozana na Serikali juu ya kufunga mipaka ni kusindikiza wadau tu..! ”
Na ni kweli mkuu! Sisi tunapata maoni kutoka kwa wadau tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unashangaa hiyo? Denmark hauruhusiwi hata kutoka nje ya nyumba yako...askari wametapakaa nje wanapulizia madawa...

groceries n.k unaagiza online na hata yule anayedeliver hauonani nae..yeye anafika anaweka nje ya mlango wako anaondoka

Shule wanasoma online saivi. Lakini kwasababu ni wazungu hauwez kusema ni "washamba"
Nchi yao imejipanga... ushamba hapo uko wapi wakati polisi wanazuia watu kutoka nje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unatokea DSM unapanda gari za kwenda Bagamoyo, Ukifika Bagamoyo unachukua gari za Kiwangwa kuja Fukayosi shule. Ukifika Fukayosi Shule chukua pikipiki mwambie dereva akupeleke Kijiji cha Mashauzi..!

Ilani(Risks): kipindi cha mvua barabara inaharibika sana, kuna ishu ya urasmishaji ambayo bado haijakaa sawa na ng'ati.

Karibu Mkuu.
Maeneo hayo ni aina gani ya kilimo kinacholipa mkuu?
 
Dah!! Sikujua kwamba vijijini somo la Coronavirus limewaingia vema namna hii! Hawa somo limewaingia vizuri kuliko serikali ambayo hapo kabla ni kama waliodhani Coronavirus haiwezi kuingia Tz!!

Hamna namna, hao watu wa vijijini waendelee tu kuwatimulia vumbi nyama nyinyi! Mnadhani wamesahau mlivyokuwa mna-export Ngoma toka mjini na kwenda kuwadondoshea jumba bovu huko vijijini!!! Kama nyie wengine Mikorona yenu mnaipata baada ya kupanda ndege halafu mje kutumwagia wengine ambao hata hiyo ndege yenyewe tunaishia kuiona ikiwa angani tu!!!
😂😂😂😂
 
Nime
Hii imekaa kama kichekesho lakini ni vyema pia elimu itolewe vijijini sana tena sana.

Japo kuna baadhi wana mwanga kwa jjinsi gani ya kujikinga na korona lakini bado kuna watu wengine Holla!

Huu ugonjwa wa Korona umefanya watu wengi kupaniki pasipo na sbabu yoyote ya maana...na hii yote ni ya kila mmoja wetu kujifanya mwandishi wa habari.

Yaani unaweza kutoka mjini alafu unarudi kijijini watu wanakaa umbali na wewe takribani kama mita tano huku wakikupungia mkono tena wakikimbia cha kushangaza zaidi usishangae hadi kuna watoto wa majirani wanaweza kupewa onyo kutokua karibu na mtu mwenyewe.Kibaya kabisa wajue either umetokea Dar es salaam,Arusha au Moshi mjini..Alafu hapo mtu hana corona wala nini!!!

Yaani imekuwa desturi sasa watu wa mjini hawaaminiki tena,ukitaka kukaa na wana mpige story nao hawaelewek kila mtu anakuepuka, wanakutenga kishenzi shenzi tu!!!

Aiseew Tanzania bado tupo nyuma sana!

Pia baada ya bandiko nilipojaribu kuangaza angaza facebook nilikutana na Updates ya namna hii

KENYA: MTU MMOJA AUAWA NA RAIA KWA KUDHANIWA ANA #COVID19

> Polisi wanakisaka kikundi kilichomuua Hezron Kotin

> Vijana hao walimshambulia mtu huyo kwa silaha, na kupelekea kifo chake baada ya kumtuhumu kuwa na #coronavirus

#JFLeo

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimewapenda, wanafanya vizuri sana, na waendelee hivyohivyo mpaka janga hili litokomee lilikotoka!
 
Back
Top Bottom