Marketing strategy, hiyo 'deki' ya tv ungeigawa bure tu.
morogoro kubwa sana mkuu be specif Weka bei tukuelew tv ya aina gan flat au chogo,kitanda cha mbao gan? godoro la kampun gan umev2mia miaka au miez mingap alaf uweke na bei zake ili tufanye comparisons na v2 vipya
kwa nn unauza? km tv utaangalia bar, haya na pa kulala je? unataka kulala chini? unaumwa mgongo ama? y unauza? ukikosa mteja ni-pm!
Kuna kitanda 5 kwa 6 pamoja na Godoro lake, Tv nchi 18 pamoja na deki yake pia na meza yake!
Vitu vipo Morogoro. Piga simu hapa: 0714138846