Vitu vya ndani vinauzwa

Vitu vya ndani vinauzwa

Mkuu hiyo mbona ni sawa na mpya bei yake?
 
Ukiona hvyo mkuu ujue ni changamoto, mfn, unadaiwa kodi, ada za watt na nyumbani hauna kazi,
Kweli mkuu,mambo ni Mengi ila ugumu ukiongezeka na mafanikio nayo yaja.
 
Sasa mbona hamna chupi za mitumba unazoziuza? Mimi nilikuja kwa haraka kuwahi hizo chupi kwani ni ugonjwa wangu.
 
Asante mkuu...

Ubarikiwe sana jibu zuri, amekutukana bure ila umeonyesha ww ni mtu mzima na hekima tele, ukikutana na matoto ya guest unayapita tu, wee songa mbele
 
Sofa.....200,000/=
TV ndogo(tumbo)80000
Mihani gasi na jiko 250000
Pm ntatoa namba,
Npo dar...
Mkuu unauza ghali sana umezidi ata bei ya dukani vikiwa vipya, jiko tena westpoint plate mbili na mtungi mkubwa plus [emoji809] gas bei 230000,. Vipyaaaa.
 
Uuzaji wa vitu vya ndani unakua kwa kasi.
na sisi wa mkoani tumeshawaandalia viwanja vya kutosha. saivi kale ka utani sijui wanaume wa mtwara na wanaume wa msumbiji kanajifuta taratiibu. watabaki waliozaliwa huko ila kwa wahamiaji looh! na hapo bado 20.1. 2017 rais wa dunia ataongeza wageni dar. lazima kujae, mafuriko yatakuja huku tu. Shimba ya buyenze. zugu nsabi wane tubageshe bhanang'weli!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom