Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,446
- 1,808
Sofa.....200,000/=
TV ndogo(tumbo)80000
Mihani gasi na jiko 250000
Pm ntatoa namba,
Npo dar...
TV ndogo(tumbo)80000
Mihani gasi na jiko 250000
Pm ntatoa namba,
Npo dar...
Asante mkuu...Bwege wewe
ndugu nimeipenda hekima yako. Wabarikini wanao waudhi.Asante mkuu...
japo ckubaliani kwa matusi, ila bei aliyotaja na ubora wa vitu ndo ubwege unapoonekana,Sasa umemtukana mwensio kafanya nini!? sianauza vitu vyake? watoto wa dawa mnavituko!
Hahahah jamaa wa vicoba ni shida.....Mkuu deni la vicoba nn? Au we ni afisa mikopo umeenda kufilisi?
Mkuu hzo kochi ni zote mbili na tv ni ya tumbo plus gasi, sion kama kunashida, hata hivyo ninaweza kupunguza kwa wahitaji....Hizo bei zako ni za dukani wakati vitu ni used.Mfano kochi hilo ni laki2 unapata,tv inaanza 100000 mpaka 90000 unapata mpya kabisa na ukijua kuongea zaid unakula.Hapo ndugu utawachukia watu tu maana watakua wanakukebei na kukusanifu kwa ulichokiweka humu.Kawaida watu huweka vitu used nusu ya bei ya Dukan au inayokaribia kushuka nusu.Sasa wewe mtu anunue hyo tv used kwa80000 kisha asafirishe kwa 10000.wakat yapo ya namna.hyo 50000 kushuka chin
Njoo nikupe mkuuMi nataka mihan VIP hapo
Mkuu unataka kipi? Sema kipi, viti ni vyote viwili kwa 200000, seti ya gas 250,000/=Yani ww una shida halafu unajifanya unaza ghali ,shusha bei haraka xn mimi sina 'maneno matamu matamu'
Mkuu items zipo hapo juu, seti ya gasi 250,000/= sofa seti ni 200000/= na TV elf80, ukata kujua kuwa hvyo vitu ni ghali viulize, bei vikiwa vipyaKwahiyo vyote ni laki mbili na nusu?