Vitu vya kwenda navyo JKT

Vitu vya kwenda navyo JKT

Joined
May 19, 2015
Posts
26
Reaction score
0
Waheshimiwa kama living sina nina cheti cha kuzaliwa tu na kitambulisho shule naweza kwenda JKT bila kuzingliwa?
 
Kua waz umemaliza chuo o 6??? Km unatokea ktaa & hauna support #USPOTEZE MDA👈👈👈
 
Umemaliza kidato cha sita? kama ni kwa mujibu, ila kama ni kwa kujitolea unatakiwa uwe na cheti kwanzia cha shule ya msingi na kuendelea.
 
mjubi wa sheria nenda na viwembe ya kutosha kwa ajiri ya kipara na kisimu cha touch kwa ajiri ya mawasiliano.kumbuka kunya maji mengi ili horo ielee nb hakuna jipya kule zaidi ya vitsho vya makamanda
 
naenda kwa mujb wa sheria ila living xina nina chet cha kuzaliwa tu ???
Wa mujibu huitaji vyeti as long as unajua jina lako na kituo ulichopangiwa, beba hela ya kutosha sababu hautoshiba msosi unaopewa japo ni mwingi, vingine vinategema na wapi unaenda ,mahitaji ya Mlale au Mafinga si sawa na Ruvu so utapata msaada zaidi ukisema umepangiwa wapi.
 
Usisahau kondomu za kutosha ..kondomu kule ni shida sana kupatikana
 
Waheshimiwa kama living sina nina cheti cha kuzaliwa tu na kitambulisho shule naweza kwenda JKT bila kuzingliwa?

Usisahau condom za kutosha na kama unauza timu chukua augumentin za kutosha ili ikiambukizwa umeze
 
kma huna leaving achana nayo beba tu document zako zngne znaweza kukusaidi baadae hata kwa zali tu kma vle academic certificate ya olev, birth cert na kma una driving lisence ww beba tuu kuna mashav fulan huwa yana hapen so itakusaidia saaana, achana na nyembe coz cku hzi hawaruhusu kutumia nyembe mnakatwa kweny posho yenu hela ya saloon lakin km utataka pure zungu bac utanunua nyembe kulekule kuna maduka kibao haraf kingne temana na hzo habar za kubeba condom ww unaenda kupga koz cyo kufanya ngono, jkt icwe place ya ww kuharbika kitabia ila kma ndyo tabia yako yaan ushaharibka tangu kitambo bac beba ila kuhusu pesa kma kwel zinapatkana bac beba za kutosha saaana maana cku hizi posho kupewa ni mpka six week ziishe na huwq inakuw hta zaid ya six weeks
yangu ni hayo tu AJ 9800 SM JACOB..... mwaka jana ndan ya 838KJ MARAMBA-TANGA
 
kma huna leaving achana nayo beba tu document zako zngne znaweza kukusaidi baadae hata kwa zali tu kma vle academic certificate ya olev, birth cert na kma una driving lisence ww beba tuu kuna mashav fulan huwa yana hapen so itakusaidia saaana, achana na nyembe coz cku hzi hawaruhusu kutumia nyembe mnakatwa kweny posho yenu hela ya saloon lakin km utataka pure zungu bac utanunua nyembe kulekule kuna maduka kibao haraf kingne temana na hzo habar za kubeba condom ww unaenda kupga koz cyo kufanya ngono, jkt icwe place ya ww kuharbika kitabia ila kma ndyo tabia yako yaan ushaharibka tangu kitambo bac beba ila kuhusu pesa kma kwel zinapatkana bac beba za kutosha saaana maana cku hizi posho kupewa ni mpka six week ziishe na huwq inakuw hta zaid ya six weeks
yangu ni hayo tu AJ 9800 SM JACOB..... mwaka jana ndan ya 838KJ MARAMBA-TANGA

sio kila kikosi kina saluni, viwembe lazima kwenda navyo tena vya kusaza
 
Back
Top Bottom