Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 401
Kuna msemo huu 'Ili tuendelee tunahitaji vitu vinne:-
1. Ardhi
2. Watu
3. Siasa Safi
4. Uongozi bora
Wana JF nina uhakika na namba 1&2 kwamba vipo. sijui namba kuhusu namba 3&4. nisaidieni wapi tumekwama.
1. Ardhi
2. Watu
3. Siasa Safi
4. Uongozi bora
Wana JF nina uhakika na namba 1&2 kwamba vipo. sijui namba kuhusu namba 3&4. nisaidieni wapi tumekwama.
Last edited: