Nenda hospital mzee, pole sana. Kwa hili tatizo lako inawezekana una Tatizo la Neva (Neuropathy), High Blood pressure au Msongo wa mawazo(Anxiety).. Kama Hospital watasema hakuna shida kwa upande wa kiafya basi inawezekana haya yamesababishwa na nguvu za giza. Ni vizuri ukaingia kwenye maombi, ikiwezekana nenda kwa Mwamposa au Kuhani Musa.