Vitu adimu kutoka Afrika.

Elewa kuwa hawavai hivyo kila siku bali siku hiyo kuna sherehe za kitamaduni.
Naongelea utamaduni halisi wa afrika walikuwa wanavaa hivyo ila tumebadilika baada ya wazungu na waarabu kuja kututawala.......Kama umenisoma vizuri niliandika 'afrika mambo YALIKUWA nje nje'

Hawa hapa chini sio wa 'mswati'

 
bhac sawaa.......lakini mi naona si adimu sanaaaa.Ingekuwa adimu ungepata picha si zaidi ya 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…