Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 317
Ninapokaa chini na kuwaza juu ya Tz na mwendo wetu, naona vitu 5 vinavyohitaji kupewa kipaumbele kwa serikali ijayo kwa kusudi la kuweza kupiga hatua kubwa mbele. Ningependa kuona hivi vitu vikigusiwa kwa undani zaidi hasa tunapoingia katika kipindi cha kampeni. Kusema kweli, hivi sio vitu vikubwa, kiasi cha kusema tutahitaji msaada kutoka nje, bali naamini tukifanya kazi pamoja tutaweza kuvifanyia kazi na hatimaye kuvimudu bila matatizo. Ni aibu kwa nchi itakayosherekea miaka 49 ya uhuru kuwa na mazungumzo kila siku juu ya hivi vitu. Basi vitu vyenyewe ni:
1) Umeme
Ningependa kuona umeme ulioa sambaa nchi nzima (kwa sasa ni asilimia 12 tu ya nchi yenye umeme), usio haba (migao) na wa bei itakayowezwa na waTz wote.
Understandably hili litakuwa gumu hasa katika vijiji vilivyo mbali. Lakini hi indo challenge tuliyo nayo! Tuna ma-engeneer, nk kutoka UD. What are they for, if not to put their brains into usage.
Kwa hili lote kufanyika ndani ya miaka 5 ni ngumu, lakini at least kuwe na ‘a master plan' itakayofanyiwa kazi bila kujali serikali zitakazofuata – yani a continuous program ambayo haitabadilishwa kiholela na serikali zitakazofuata!
2) Maji
Ningependa kuona maji yanafika katika bomba za kila nyumba Tz.
Matatizo ni yale yale kama ya umeme, lakini yanawezekana.
Kutengeneza ‘a master plan' kama ya umeme itafaa sana hapa.
P.S: Hizi master plan ziwe wazi kwa kila mtu kufuatilia. Kwa mfano…ifunguliwe website, na kuwe na regular reports zake katika vyombo vya habari.
3) Reli na Bandari
Usafiri wa treni kuboreshwa - hasa reli ya kati, na kuboresha ufanisi wa bandari zetu.
Kweli hii sasa imekuwa kichekesho, na imefika muda muafaka wa kuacha kukenua na nyani! Kama tuliowapa contract wameshindwa…tuwanyang'anye! Simple and clear! Hakuna haja ya kuzunguka mbuyu tena! It's time for action. Na Hili halihitaji muda mrefu kufanyikisha…it takes one sentence to break a contract!!
Ufasihi wa reli na bandari utarahisisha usafirishaji wa bidhaa ndani ya nchi na kuelekea katika mipaka na nchi jirani….ikiwa na maana ya pesa, mapato, ajira, nk!!!
4) Imports
Kupunguza imports na kuwapa Watz kipaumbele katika ujenzi wa viwanda na kukazania ubora wa bidhaa za nchi
China itaua uchumi wetu kabla ya kupiga hatua mbele. Marekani can afford to have mass imports from China, as their economy has graduated from Primary good production economy to a tertiary based economy. Sasa sisi hata level 2 hatujafika – yaani manufacturing economy. By allowing cheap imports we are simply restraining our ability to move to that stage. Manufacturing sector ni ya kupewa kipaumbele sana katika awamu ijayo!
5) Safari za nje
Kupunguza safari za viongozi na watumishi serikalini. Ikiwezekana, bajeti za safari za kila wizara kwenda nje ya nchi zikatwe kwa nusu. Na Rais apunguziwe muda anaoweza kutumia nje ya nchi hasa anapokuwa katika shughuli za kitaifa. Kwa mfano…roughly Rais anakuwa na madaraka kwa kipindi cha siku 1825 tu! Tukimpa siku 150 nje ya nchi ni muda wa kutosha kabisa. Huyu ni rais wetu tuliyemchagua, na hivyo tuna haki ya ku-limit muda atakao kuwa mbali nasi! Hii sio contract au nini...its a simple must do! Pia, kwa maoni yangu, Tz ina kila kitu tunachohitaji kuendelea hapahapa. Hii kwenda nje ya nchi ni upumbavu tu!
Anyway…that is what I would look for in the next regime! Simple and basic developments. Na sitaki hizi kelele za Maisha Bora kwa kila mtanzania. Hizi ni open statements zisizo na msingi wowote wala uwezo wa kupima mafanikio yake! Kwangu mimi kama hivi vitaweza kushughulikiwa...basi that would be a successful regime!
PS….Holla to the 1000th post!
1) Umeme
Ningependa kuona umeme ulioa sambaa nchi nzima (kwa sasa ni asilimia 12 tu ya nchi yenye umeme), usio haba (migao) na wa bei itakayowezwa na waTz wote.
Understandably hili litakuwa gumu hasa katika vijiji vilivyo mbali. Lakini hi indo challenge tuliyo nayo! Tuna ma-engeneer, nk kutoka UD. What are they for, if not to put their brains into usage.
Kwa hili lote kufanyika ndani ya miaka 5 ni ngumu, lakini at least kuwe na ‘a master plan' itakayofanyiwa kazi bila kujali serikali zitakazofuata – yani a continuous program ambayo haitabadilishwa kiholela na serikali zitakazofuata!
2) Maji
Ningependa kuona maji yanafika katika bomba za kila nyumba Tz.
Matatizo ni yale yale kama ya umeme, lakini yanawezekana.
Kutengeneza ‘a master plan' kama ya umeme itafaa sana hapa.
P.S: Hizi master plan ziwe wazi kwa kila mtu kufuatilia. Kwa mfano…ifunguliwe website, na kuwe na regular reports zake katika vyombo vya habari.
3) Reli na Bandari
Usafiri wa treni kuboreshwa - hasa reli ya kati, na kuboresha ufanisi wa bandari zetu.
Kweli hii sasa imekuwa kichekesho, na imefika muda muafaka wa kuacha kukenua na nyani! Kama tuliowapa contract wameshindwa…tuwanyang'anye! Simple and clear! Hakuna haja ya kuzunguka mbuyu tena! It's time for action. Na Hili halihitaji muda mrefu kufanyikisha…it takes one sentence to break a contract!!
Ufasihi wa reli na bandari utarahisisha usafirishaji wa bidhaa ndani ya nchi na kuelekea katika mipaka na nchi jirani….ikiwa na maana ya pesa, mapato, ajira, nk!!!
4) Imports
Kupunguza imports na kuwapa Watz kipaumbele katika ujenzi wa viwanda na kukazania ubora wa bidhaa za nchi
China itaua uchumi wetu kabla ya kupiga hatua mbele. Marekani can afford to have mass imports from China, as their economy has graduated from Primary good production economy to a tertiary based economy. Sasa sisi hata level 2 hatujafika – yaani manufacturing economy. By allowing cheap imports we are simply restraining our ability to move to that stage. Manufacturing sector ni ya kupewa kipaumbele sana katika awamu ijayo!
5) Safari za nje
Kupunguza safari za viongozi na watumishi serikalini. Ikiwezekana, bajeti za safari za kila wizara kwenda nje ya nchi zikatwe kwa nusu. Na Rais apunguziwe muda anaoweza kutumia nje ya nchi hasa anapokuwa katika shughuli za kitaifa. Kwa mfano…roughly Rais anakuwa na madaraka kwa kipindi cha siku 1825 tu! Tukimpa siku 150 nje ya nchi ni muda wa kutosha kabisa. Huyu ni rais wetu tuliyemchagua, na hivyo tuna haki ya ku-limit muda atakao kuwa mbali nasi! Hii sio contract au nini...its a simple must do! Pia, kwa maoni yangu, Tz ina kila kitu tunachohitaji kuendelea hapahapa. Hii kwenda nje ya nchi ni upumbavu tu!
Anyway…that is what I would look for in the next regime! Simple and basic developments. Na sitaki hizi kelele za Maisha Bora kwa kila mtanzania. Hizi ni open statements zisizo na msingi wowote wala uwezo wa kupima mafanikio yake! Kwangu mimi kama hivi vitaweza kushughulikiwa...basi that would be a successful regime!
PS….Holla to the 1000th post!