Vitisho vya Azana

Hakuna adhan ya hivyo na hiyo si tafsir ya adhana
 
Wenyewe wanakwambia hayo yote yapo kitabuni
 
Hakuna adhan ya hivyo na hiyo si tafsir ya adhana
 
Haki yako ya kuabudu isijunje haki ya mtu mwingine ya kupumzika. Kwakweli waafrika ustaarabu hatuna kabisa. Hiyo ni pamoja na walokole kukesha kwa kusali na makelele yao mpaka asubuhi. Kila kitu kiwe na mipaka yake.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…