Jamani hii ni haki? CHADEMA ina kiti zaidi ya kimoja katika mkoa wa Shinyanga lakini haina mbunge wa viti maalum kutoka katika mkoa huo ilhali Mkoa wa Singida una Mbunge wa viti maalum wakati ina mbunge mmoja tu wa jimbo tena mbunge huyo ni kaka wa mbunge wa viti maalum> Nisaidieni hili!
Jamani hii ni haki? CHADEMA ina kiti zaidi ya kimoja katika mkoa wa Shinyanga lakini haina mbunge wa viti maalum kutoka katika mkoa huo ilhali Mkoa wa Singida una Mbunge wa viti maalum wakati ina mbunge mmoja tu wa jimbo tena mbunge huyo ni kaka wa mbunge wa viti maalum> Nisaidieni hili!
Hana jipya huyu jamaa labda anatafuta jukwaa lakutokea nyuzi kama hizi si zakuchangia chochote never argue with a fool. Maana mwehu hukufanya uonejane mwendawazimu.
we mchunga mbuzi uwezo wako wa kumsaidia mtu ivi upo chini kiasi hichi! Nakushauri post zingine kama mtu kaomba kuelimishwa na wewe elimu hiyo hauna uwe unakaa kimya.