Vitchen Party vya siku hizi!

hahaaa hata bau yako naye yumo?

MJ1 dearest, mimi mbado hiyo mambo lakini pia haitakuwepo kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!

unless u convice me otherwise......huwa lengo lake ni nini kwani??
We sasa unataka kuchochea moto wa hasira ya Babu yangu. hebu nshamtaka radhi na AMENISAMEHE TAYARI.

Hahahahh zamani lengo lilikuwwa kumfunda mwali namna ya kuishi na mume ila siku hizi lengo ni kukupatia vitu vya kuanzia maish. So do not bother buying vitanda, kabati, TV au sofa just wait kitchen partyyo!
 
hahaaa hata bau yako naye yumo?

MJ1 dearest, mimi mbado hiyo mambo lakini pia haitakuwepo kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!

unless u convice me otherwise......huwa lengo lake ni nini kwani??

Unafundwa jinsi ya kutumia 6 kwa sita vizuri..........
Ukifumania usamehe...........
Usiridhike na figa moja ili mradi usifumaniwe.......
Na mambo mengine kama hayo.
 
aaaah gotch you!! mi nshamaliza kuisherekea last week!!!! ila msaada naendelea kutoa kama kawaida

sikusahau lakini kumbuka pale mimi nilikwambia ntakutafuta tu no mata wat....lakini biggy ukanidharau!!! (am not suprised that u 4got)lol!!

anyway umeamka maana ile hali ilikuwa tishio

Nyie nyie nyie kumbe chat imeshaondolewa eeh ..am kiddin'
 
This is just a buffoonery misuse of resources!
Halafu tunalalamika tu masikini lol kumbe tunainvest pasipo!! jamani afadhali umenisaidia nawe Nyani ingawa mie sikuangalia kwa mtazamo huo.


Sasa mwali akishaingia na mizawadi hiyo yote, nawe mume ukawa ulishajinunulia vyako mnafanyaje? Au vingine huwa vinabakia nyumbani kwa wazazi wa mke eh?
 
ile batani huioni na wewe leo?? au wewe ukoo wa Iskarioti??
Kale kakitu naona kanaogopa posts zako mamushka. Kila napotaka ko do the needful kanapotea! Ngoja nikavizie labda ntakafumania.

Mchumba mwenye ubongo wa kichina? ohhh my God,kabila langu limekukosea nini? au limekusikitisha nini?
Kakague kule mchumba.

Ntayalipa Babu nitayalipa kitchen party hapana babu niko chini ya miguu yako na macho nimefumba
Hapo utakapofunga macho ndipo utakapokosea sasa...........
 
We sasa unataka kuchochea moto wa hasira ya Babu yangu. hebu nshamtaka radhi na AMENISAMEHE TAYARI.

Hahahahh zamani lengo lilikuwwa kumfunda mwali namna ya kuishi na mume ila siku hizi lengo ni kukupatia vitu vya kuanzia maish. So do not bother buying vitanda, kabati, TV au sofa just wait kitchen partyyo!

jameni mi sio mchonganishi, afu na wewe uache soga!!!

aaaah mi staki hayo mambo kwa kweli!!! hujanishawishi bado

Unafundwa jinsi ya kutumia 6 kwa sita vizuri..........
Ukifumania usamehe...........
Usiridhike na figa moja ili mradi usifumaniwe.......
Na mambo mengine kama hayo.

biggy mi nayajua yote hayo sitaki marudio , ntaboeka!!! aftaroo najua ntayatatua hayo my own way, sihitaji mtu anifundishe njia zake kwani zina apply kwa kila kesi??
 
Bora uwaambie maana mie nilihisi walizawadiwa mikeka ile ya kupigia stori maana wamesogoa hadi bht kaunguza mboga jikoni!!

hahaaaaa hasara za kutofanyiwa kicheni pati naanza kuiona!!!

lakini nyie sio vizuri kusingiziana, wewe mwenyewe na babuyo ndo mlikuwa mnasogoa mimi nimeingiaje humo?
 
jameni mi sio mchonganishi, afu na wewe uache soga!!!

aaaah mi staki hayo mambo kwa kweli!!! hujanishawishi bado



biggy mi nayajua yote hayo sitaki marudio , ntaboeka!!! aftaroo najua ntayatatua hayo my own way, sihitaji mtu anifundishe njia zake kwani zina apply kwa kila kesi??

your own way? unaanza kunitia mashaka sasa.
 
Halafu tunalalamika tu masikini lol kumbe tunainvest pasipo!! jamani afadhali umenisaidia nawe Nyani ingawa mie sikuangalia kwa mtazamo huo.


Sasa mwali akishaingia na mizawadi hiyo yote, nawe mume ukawa ulishajinunulia vyako mnafanyaje? Au vingine huwa vinabakia nyumbani kwa wazazi wa mke eh?

Let me tell you something...there is nothing more gratifying than starting life from scratch with someone. This means that all the things you both acquire while together. It helps the relationship in this sense; both of you will feel a sense of belonging and a sense of having an equal contribution to the relationship because both of you will have brought something to the table.
 
Labda inawasaidia kuanza maisha!

Kuanza maisha?

Yepi na katika hali hii unakuwa ushaanzishiwa! Unless mnijie na definition mpya ya kuanza maisha! Sisemi wote tuanzie kwenye kitanda cha banco; nope lakini unaanzaje maisha hujui price hata ya one item unazomiliki na ingekuwa ni kiasi flani ; lakini salaale kila kitu; hapo hamjatuonyesha nguo; vyufuli nk nk!

Huku sio ya kuyaanza maisha; huku ni kudekezwa!
 
Back
Top Bottom