Isaack Newton
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 535
- 224
Nikikupa cha mbao ukifanyie mautundu utafanya kwa bei gani? Muundo kama hicho cha bluuWeka oda yako nikutengenezee kitanda cha sofa.
Bei zake
4 kwa 6 laki mbili na ishirinI.
5 kwa 6 laki tatu na ishirini
6 kwa 6 laki nne na thelasini.
usafiri BuuUuuuure kwa wakazi wa DAR. napatikana mbezi beach.
what's up number, 0679478758.
View attachment 1226818View attachment 1226819View attachment 1226820View attachment 1226823View attachment 1226825
Weka mfano wa kitanda ambacho umetengeneza kabla ya kuweka hayo masofa tuone muundo na uimara wake kabla hatujakutafuta
Cha mbao mkuu ni chaga tu ndo zitatumia kwa sababu frame ya kitanda cha kawaida cha mbao ni tofauti na frame ya kitanda cha sofa.Nikikupa cha mbao ukifanyie mautundu utafanya kwa bei gani? Muundo kama hicho cha bluu
Hata wakilala vibonge kumi vitanda ninavotengeneza ni imara, natengeneza kitu ambacho nina uhakika nacho huwa sitengeneziKweli unaweza kukuta ametumia mbao za kuokoteza akilala Chibonge Chini.... Ila all in all ni vizuri
Hata wakilala vibonge kumi kitanda kipo imara, sitengenezi kitanda kumuibia mteja. Na sijawahi kupata malalamiko yoyote kutoka kwa wateja wangu zaidi ya kupata wateja wengine kupitia hao wateja niliowatengenezea. Kuhusu ubora wa vitanda nipo vizuri.Kweli unaweza kukuta ametumia mbao za kuokoteza akilala Chibonge Chini.... Ila all in all ni vizuri
Ukiona kitu kinakuwa covered na mashukashuka na urembo ujue ndani kuna siri nzito. The day sofa langu seating room lilifumuka ndio nikajua kuwa sidiria na gagulo zilizoisha zinaweza kuwa reusedVina muonekano mzuri, hongera sana.
Ni kweli kabisa mkuu unachokisema lakini inategemea na mafundi na kwa upande wa kitanda sio rahisi kufanya hivi maana structure ya kitanda ni tofauti.Ukiona kitu kinakuwa covered na mashukashuka na urembo ujue ndani kuna siri nzito. The day sofa langu seating room lilifumuka ndio nikajua kuwa sidiria na gagulo zilizoisha zinaweza kuwa reused
Hakuna fundi anaetumia mbazo mbovu.Wanatumia mbazo mbovu
Kitanda cha sofa ni kile mchana unakitumia kama sofa na usiku unakikunjua kuwa kitanda kama cha kwenye treni.Weka oda yako nikutengenezee kitanda cha sofa.
Bei zake
4 kwa 6 laki mbili na ishirinI.
5 kwa 6 laki tatu na ishirini
6 kwa 6 laki nne na thelasini.
usafiri BuuUuuuure kwa wakazi wa DAR. napatikana mbezi beach.
what's up number, 0679478758.
View attachment 1226818View attachment 1226819View attachment 1226820View attachment 1226823View attachment 1226825
Pole kwa kupaliwaHakuna fundi anaetumia mbazo mbovu.
Ukiona kitu kinakuwa covered na mashukashuka na urembo ujue ndani kuna siri nzito. The day sofa langu seating room lilifumuka ndio nikajua kuwa sidiria na gagulo zilizoisha zinaweza kuwa reused