Vitanda bora vya sofa kwa bei ndogo kuanzia laki mbili tu, hebu vicheki

Isaack Newton

JF-Expert Member
Apr 15, 2013
535
224
Weka oda yako nikutengenezee kitanda cha sofa.

Bei zake

4 kwa 6 laki mbili na ishirinI.
5 kwa 6 laki tatu na ishirini
6 kwa 6 laki nne na thelasini.

usafiri BuuUuuuure kwa wakazi wa DAR. napatikana mbezi beach.

what's up number, 0679478758.
IMG_20190816_094619.jpg
IMG_20190806_115209.jpg
IMG_20190806_162441_932.jpg
IMG_20190927_163415.jpg
IMG_20190927_163830_299.jpg
 
Kweli unaweza kukuta ametumia mbao za kuokoteza akilala Chibonge Chini.... Ila all in all ni vizuri
Weka mfano wa kitanda ambacho umetengeneza kabla ya kuweka hayo masofa tuone muundo na uimara wake kabla hatujakutafuta
 
Nikikupa cha mbao ukifanyie mautundu utafanya kwa bei gani? Muundo kama hicho cha bluu
Cha mbao mkuu ni chaga tu ndo zitatumia kwa sababu frame ya kitanda cha kawaida cha mbao ni tofauti na frame ya kitanda cha sofa.
 
Kweli unaweza kukuta ametumia mbao za kuokoteza akilala Chibonge Chini.... Ila all in all ni vizuri
Hata wakilala vibonge kumi vitanda ninavotengeneza ni imara, natengeneza kitu ambacho nina uhakika nacho huwa sitengenezi
Kweli unaweza kukuta ametumia mbao za kuokoteza akilala Chibonge Chini.... Ila all in all ni vizuri
Hata wakilala vibonge kumi kitanda kipo imara, sitengenezi kitanda kumuibia mteja. Na sijawahi kupata malalamiko yoyote kutoka kwa wateja wangu zaidi ya kupata wateja wengine kupitia hao wateja niliowatengenezea. Kuhusu ubora wa vitanda nipo vizuri.
 
Ukiona kitu kinakuwa covered na mashukashuka na urembo ujue ndani kuna siri nzito. The day sofa langu seating room lilifumuka ndio nikajua kuwa sidiria na gagulo zilizoisha zinaweza kuwa reused
Ni kweli kabisa mkuu unachokisema lakini inategemea na mafundi na kwa upande wa kitanda sio rahisi kufanya hivi maana structure ya kitanda ni tofauti.
 
Weka oda yako nikutengenezee kitanda cha sofa.
Bei zake
4 kwa 6 laki mbili na ishirinI.
5 kwa 6 laki tatu na ishirini
6 kwa 6 laki nne na thelasini.
usafiri BuuUuuuure kwa wakazi wa DAR. napatikana mbezi beach.
what's up number, 0679478758.
View attachment 1226818View attachment 1226819View attachment 1226820View attachment 1226823View attachment 1226825
Kitanda cha sofa ni kile mchana unakitumia kama sofa na usiku unakikunjua kuwa kitanda kama cha kwenye treni.
 
Mkuu cha sofa umemaanisha nini kwamba mchana unakivuta sebuleni watu wanakalia au maana sijaelewa kabisa. Mbona proportion ya kutoka ya tofauti ya bei mfano tano kwa sita na sita kwa sita kimahesabu hazisomi.unapofanya biashara mkuu fanya kisayansi . Portion inayoongezeka hailingani na tofauti ya bei
 
Ukiona kitu kinakuwa covered na mashukashuka na urembo ujue ndani kuna siri nzito. The day sofa langu seating room lilifumuka ndio nikajua kuwa sidiria na gagulo zilizoisha zinaweza kuwa reused

Vp hujakuta na vyupi mkuu ??
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom