boobookitty
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 255
- 174
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Naomba kufahamu namna gani nitapata namba ya kitambulisho haraka iwezekanavyo ikiezekana baada ya week mbili kwani nina safari ya ghafla na habari nilizopata inabidi usubiri baada ya mwezi kupata namba ambayo itaniwezesha kupata passport ya kusafiria. Jibu lako pia litawasaidia na wale wasiokua navyo kabisa.
