VITABU VYA KILIMO NA UFUGAJI.

VITABU VYA KILIMO NA UFUGAJI.

MVAA KOMBATI

Member
Joined
Sep 18, 2016
Posts
39
Reaction score
38
KITABU CHA MASUALA YA GREENHOUSE SASA KINAPATIKANA
Habari wajasirimali wote na wanajihusiha na kilimo cha kisasa na wanaowiwa kujihusisha na kilimo cha kisasa hasa Greenhouse/Nethouse , sasa kitabu kinapatikana kikiwa kimesheheni mambo mbalimbali kama ;
- Maana ya Greenhouse
-Tofauti ya Greenhouse na Net house
-Vitu muhimu vya kuzingatia kabla ya kujenga greenhouse/net house
-Vitu muhimu vya kuzingatia wakati wa kusanifu jengo la greenhouse/net house
-umuhimu wa greenhouse/net house
-umwagiliaji wa matone
-faida za umwagiliaji wa matone
-Faida za kiuchumi /utajiri unaopatikana ndani ya greenhouse /net house
Na mambo mengine mbalimbali
Gharama ya kitabu ni Tsh 20,000/=
PIA KIPO KITABU CHA UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI TSH.15,000/=.

KITABU CHA KILIMO CHA TIKITI MAJI.TSH.20,000/=.

KITABU CHA BUSTANI ZA MBOGA MBOGA NA MATUNDA.TSH.15,000/=.

TUWASILIANE ILI KUJIPATIA VITABU HIKI.

0784999995.

0654768400.

0763208043.

15a7ec04bdc10ce692398488abd55039.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiko kilimo kinatumia pesa nyingi alafu faida Mule Mule tu na aliye lima kawaida.. Msikurupuke fanyeni Tasmin japo faida zipo
 
Back
Top Bottom