Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,850
- 50,568
Kwa muda mrefu nimeona kunakuwa na mgogoro mkubwa sana miongoni mwetu kwenye kukubaliana hasa ni wakati gani siasa na dini vinaweza kukaa pamoja. Ili kuondoa sintofahamu hiyo nashauri vitabu vya dini visitumike kumwapisha mwanasiasa yeyote yule ama mwanasiasa asitumie vitabu vya dini kumwapisha mtu mwingine.
Tusichanganye siasa na dini!!
Tusichanganye siasa na dini!!