mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,570
- 6,433
Heshima kwenu wanajukwaa!
Kuna binamu yangu amepangiwa mchepuo wa PCM shule ya Tosamaganga, sasa shida yake iliyonifanya kuleta uzi anaomba kujua vitabu gani vya kununua kabla hajaenda shule kulingana na mchepuo wake.
1.physics( 5 na 6)
2.chemistry(5 na 6)
3.p/maths(5 na 6).
Si mbaya hata nikipata vya form five kwa kipindi hiki maana ndo anaenda kuanza.
Kuna binamu yangu amepangiwa mchepuo wa PCM shule ya Tosamaganga, sasa shida yake iliyonifanya kuleta uzi anaomba kujua vitabu gani vya kununua kabla hajaenda shule kulingana na mchepuo wake.
1.physics( 5 na 6)
2.chemistry(5 na 6)
3.p/maths(5 na 6).
Si mbaya hata nikipata vya form five kwa kipindi hiki maana ndo anaenda kuanza.