mwanzo wetu
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 1,587
- 466
Wakuu habari.
Naombeni ushauri ndugu zangu, mimi na familia fulani tuko marafiki wa muda mrefu, kuanzia baba wafamilia husika na vijana wa familia Hiyo tunaishi kama ndugu.
Kijana mmoja wa familia Hiyo ana mke na mke Huyo amefanikiwa kuzaa binti, Tatizo limeanzia hapa saaa, Huyo binti ametokea kunipenda na tuko katika mahusiano mpaka sasa, nafikiria kumuoa maana na mimi nampenda Sana.
Tatizo vijana wa familia hiyo tunafahamiana tabia za kuvusha vusha wadada sasa nawaza nikimuoa siitakuwa vita maana wananijua tabia zangu, au nawaza siwatanifanyia timbwili mpaka tuachane wakiona nimemuoa wakiamini mimi nitakuwa na msaliti mtoto wao, nilitamani kufuata taratibu ila nawaza sindio nitaharibu zaidi.
Naomba ushauri nifanyeje ndugu zangu.
Naombeni ushauri ndugu zangu, mimi na familia fulani tuko marafiki wa muda mrefu, kuanzia baba wafamilia husika na vijana wa familia Hiyo tunaishi kama ndugu.
Kijana mmoja wa familia Hiyo ana mke na mke Huyo amefanikiwa kuzaa binti, Tatizo limeanzia hapa saaa, Huyo binti ametokea kunipenda na tuko katika mahusiano mpaka sasa, nafikiria kumuoa maana na mimi nampenda Sana.
Tatizo vijana wa familia hiyo tunafahamiana tabia za kuvusha vusha wadada sasa nawaza nikimuoa siitakuwa vita maana wananijua tabia zangu, au nawaza siwatanifanyia timbwili mpaka tuachane wakiona nimemuoa wakiamini mimi nitakuwa na msaliti mtoto wao, nilitamani kufuata taratibu ila nawaza sindio nitaharibu zaidi.
Naomba ushauri nifanyeje ndugu zangu.