MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,345
- 11,227
Kinawachowaponza CCM ni fitna za ndani kwa ndani. Mtapigwa mweleka tena, Arusha Mjini na Mbeya Mjini kwa kugombana wenyewe kwa wenyeweKikubwa ni kufutwa kwa Chadema Arusha
Kinawachowaponza CCM ni fitna za ndani kwa ndani. Mtapigwa mweleka tena, Arusha Mjini na Mbeya Mjini kwa kugombana wenyewe kwa wenyeweKikubwa ni kufutwa kwa Chadema Arusha
Subiri uone, sisi ndio wana-Arusha sio nyie mliokaa hapo Lumumba na kuandika andika propaganda zenu kwa manufaa ya matumbo yenu. Tuachieni mkoa wetu tumchague tunayemtaka na kura tutazilinda. Sio nyie mtuamulie, hizo enzi zishapitaga kitambo sana. Imebaki kazi ndogo sana kumuondoa mkoloni mweusi ambaye ndio mbaya zaidi.Mkuu usiendelee kuwa na mawazo mgando
.nenda Arusha ndio utapata picha halisi
Chadema watu wa Arusha hata hawataki kuisikia
Kinawachowaponza CCM ni fitna za ndani kwa ndani. Mtapigwa mweleka tena, Arusha Mjini na Mbeya Mjini kwa kugombana wenyewe kwa wenyewe
Subiri uone, sisi ndio wana-Arusha sio nyie mliokaa hapa Lumumba na kuandika andika propaganda zenu kwa manufaa ya matumbo yenu. Tuachieni mkoa wetu tumchague tunayemtaka na kura tutazilinda. Sio nyie mtuamulie, hizo enzi zishapitaga kitambo sana. Imebaki kazi ndogo sana kumuondoa mkoloni mweusi ambaye ndio mbaya zaidi.
#TUNATAKA TUME HURU, TUWAGARAGAZE MAPEMAAAAA
Uko olasite au olasiti?Upo Arusha ipi kamanda mimi nipo hapa olasite, watu hata wahataki kusikia Chadema
Just wait and see bro, usilazimishe black kuwa white.Upo Arusha ipi kamanda mimi nipo hapa olasite, watu hata wahataki kusikia Chadema
Na kama mnajiamini mnakubalika ivyo, kwa nini mkisikia neno TUME HURU mnashikwa na tumbo la kuharisha..Upo Arusha ipi kamanda mimi nipo hapa olasite, watu hata wahataki kusikia Chadema
Uko olasite au olasiti?
Unataka kujua naishi wapi ili iweje?Mkuu nijibu upo Arusha Sehemu gani?
Kwani tume ya Uchaguzi sio huru?
Hahahahahaha sio kwamba nyie ndio mnahasira na Mwenyekigoda kawatelekeza anafanya usajili kila Leo halafu ndio wanakuja kula mashavu??Olasiti Mkuu nipo na machalii wanahasira na Chadema imewatelekeza
Unataka kujua naishi wapi ili iweje?
Uhuru wa tume upo wapi??
Hahahahahaha sio kwamba nyie ndio mnahasira na Mwenyekigoda kawatelekeza anafanya usajili kila Leo halafu ndio wanakuja kula mashavu??
Halafu machalii wapogo Sakinade, Sanawarize, Mianzi, Ololooo Macassino ya kushato, Ngaleloo huko mapentagoni ya kushato, Ngarenade, Makijengefeni, sio huko Olasiti pamejaa mafambaaa..Olasiti Mkuu nipo na machalii wanahasira na Chadema imewatelekeza
Halafu machalii wapogo Sakinade, Sanawarize, Mianzi, Ololooo Macassino ya kushato, Ngaleloo huko mapentagoni ya kushato, Ngarenade, Makijengefeni, sio huko Olasiti pamejaa mafambaaa..
Wapinzani hadi kutangazwa kupewa ushindi haikuwa kazi rahisi hata kidogo na hata damu ilimwagika unajua hilo, hakukuwa na namna pia ilikuwa lazima watangazwe kujidai ilikuwa uchaguzi huru na wa haki. Nyuma ya pazia ilikuwa ni wizi tuu kuwaibia wananchi viongozi wao halali waliowachagua na kuwawekea wagonga meza tuu wasio na muda wa kuhoji chochote.Kina Mbowe waliposhinda ubunge walitangazwa na nani?
Lazima nikuache mnazi m'moja kama upo Lumumba halafu unadai upo Olasiti.Ahaha umeniacha njiapanda
Fingers crossedHaiwezi kutokea tena