Vita ya 3 ya dunia itaanzia Israel, na itaanzishwa na mataifa ya Ukata kuishambulia Israel, ila haitapiganwa kwenye mataifa mengine, itakuwa ni vita kati ya mataifa ya ulaya, middle East, Africa, America dhidi ya Israel, USA itakuja kupata rais ambaye hataitambua Israel ingawa atakuwa rais mwenye asili ya Israel na ndo atatoa kibali cha Israel kushambuliwa baada ya Israel kukaidi na kukata kutimiza matakwa ya USA ya kuunda mataifa 2, Israel na Paledtina, kwa sababu mpango wa nchi 2 itabidi Israel apoteze nusu ya nchi yake na miji muhimu kama Yerusalem, Nazareth, Bethlehem iende Palestine, tajwa hilo Israel atalikata katu na atasema hatuko tayari kutoa ardhi, tuko tayari kwa lolote, na hapo ndi mabomu ya nuclear yatapigwa, Israel ndo ataanza kutumia bomu la nuclear baada ya kuona mashambulizi kutoka kila mahari