Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,903
- 7,674
Kumekuwa na vita ya maneno mtandaoni hasa hapa JF kati ya Wakenya na Watanzania wakishindanisha baadhi ya miji ya Kenya na ile ya Tanzania kwa ubora wa miundombinu na Mengineo.
Vita hii imefika mbali zaidi walipofananisha KDF na TPDF, je nini lengo na madhara ya vita hivi vya maneno mtandaoni?
Vita hii imefika mbali zaidi walipofananisha KDF na TPDF, je nini lengo na madhara ya vita hivi vya maneno mtandaoni?