Usangu
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 826
- 450
- Thread starter
- #41
Historia inasema Sababu kubwa ya marekani kuimarika kiuchumi Duniani ni kutokushiriki kwake moja kwa moja WW1 na WW2. Nahisi anataka aanzishe kisha akae pembeni ili ampoteze mchina kiuchumiTrump ajitangaza duniani na vita za kitoto hit and run
Anarusha makombora then anakimbia
Karuaha Syria kakimbia, karusha Afghanistan, now anataka arushe north Korea harakaharaka akimbie hizo ni style za kihuni, urusi umemshitukia imemuonya!