Vita Kuu ya Tatu ya Dunia yanukia (WW3)

Vita Kuu ya Tatu ya Dunia yanukia (WW3)

Baada ya Wazee wa vita kuanza kufanya maandalizi ya Kuichapa Korea Kaskazini na baada ya wazee hao wa vita kufanya majalibio ya MOAB, Dalili zinaonyesha wazi kabisa nchi kumi zenye mabomu ys nuclea zimeanza kujiandaa kuingia vitani,

Hii vita ya tatu ya Dunia ya safari hii itakua ni balaa. Sasa na huu ugumu wa maisha tulionao nahisi tujiandae kula nyasi.
America hujaijua vizuri.hakuna kitu mbaya itakuja hapa duniani kwa sasa labda aje MUNGU tu kuanza kutoa hukumu zake,Korea na wengineo wanaweza lusha makombola yao na yakaishia kuyeyuka angani tu au yakarudi nchini mwao na kuwaamaliza wenyewe..kwa sasa na kesho bado anaeweza kuipangua mbinu ya America ni MUNGU tu na si waanadamu,bado ni muda wa biashara kwa Amerika pasipo vita ya dunia.ikifikia na kama wameipanga itakuwepo lakini si sasa
 
One day Marekani itakufa kama zilivokufa super power nyingine.
 
Baada ya Wazee wa vita kuanza kufanya maandalizi ya Kuichapa Korea Kaskazini na baada ya wazee hao wa vita kufanya majalibio ya MOAB, Dalili zinaonyesha wazi kabisa nchi kumi zenye mabomu ys nuclea zimeanza kujiandaa kuingia vitani,

Hii vita ya tatu ya Dunia ya safari hii itakua ni balaa. Sasa na huu ugumu wa maisha tulionao nahisi tujiandae kula nyasi.
Mi naona wangeacha tu.
 
Trump ajitangaza duniani na vita za kitoto hit and run
Anarusha makombora then anakimbia
Karuaha Syria kakimbia, karusha Afghanistan, now anataka arushe north Korea harakaharaka akimbie hizo ni style za kihuni, urusi umemshitukia imemuonya!
 
Hakuna vita hapo! Korea kaskazini wana technology ya kurusha nuclear missile!! Walisha soma mchezo wote wamarekani for more than 12 years ago! USA wana technology ya ku capture nuclear weapons bila effect yoyote..!!!! Ukiona marekani kaamua kufanya kitu, mchezo ulisha isha kitambo
Of coz USA vita yake huwa anaipigana mezani then kwenye reality anakuja kukamilisha kilichopangwa na matoke yanakuwa yaleyale kama alivyopanga
 
Yeah exactly kabisa Marekani ukisikia kaamua kwenda kupigana tayari ashamaliza kila kitu..
 
Baada ya Wazee wa vita kuanza kufanya maandalizi ya Kuichapa Korea Kaskazini na baada ya wazee hao wa vita kufanya majalibio ya MOAB, Dalili zinaonyesha wazi kabisa nchi kumi zenye mabomu ys nuclea zimeanza kujiandaa kuingia vitani,

Hii vita ya tatu ya Dunia ya safari hii itakua ni balaa. Sasa na huu ugumu wa maisha tulionao nahisi tujiandae kula nyasi.
Nimesoma replies za watu wengi kuhusu hili bandiko,inaelekea wengi hawajui kinachoendelea duniani.Ingawa hujaweka ushahidi ku-backup your claim kwamba vita ya tatu ya dunia itatokea wakati wowote,lakini dai lako ni kweli.Maandalizi ya WWIII yamekuwepo kwa muda mrefu sana, hasa na Marekani, na yako kwenye very advanced stages.Upo ushahidi mwingi, lakini wale ambao wako interested wanaweza ku-google "US Military Press Conference:😛Prepare for World War III with Russia,"kuona ukweli huu. Hii Press Conference ni recent. Wanaweza pia ku-google '"Third World War would be extremely lethal and fast,''US Chiefs reveal as they discuss taking out Russia or China.' World War III itakuwepo,hiyo haiepukiki, cha kujiuliza ni kwamba how will you protect yourself?
 
Nimesoma replies za watu wengi kuhusu hili bandiko,inaelekea wengi hawajui kinachoendelea duniani.Ingawa huna ushahidi wowote kuhusu dai lako kwamba vita ya tatu ya dunia itatokea wakati wowote,lakini dai lako ni kweli.Maandalizi ya WWIII yamekuwepo kwa muda mrefu sana hasa na Marekani, na yako kwenye very advanced stages.Upo ushahidi mingi, lakini wale ambao wako interested wanaweza ku-google "US Military Press Conference:World War III with Russia ...."Hii ni Press Conference very recent. World War III itakuwepo,hiyo haiepukiki, cha kujiuliza ni kwamba how will you protect yourself.
Umeongea ukweli, wengi hawajawa uptodate, hiyo conference nimeiona
 
Hakuna vita hapo! Korea kaskazini wana technology ya kurusha nuclear missile!! Walisha soma mchezo wote wamarekani for more than 12 years ago! USA wana technology ya ku capture nuclear weapons bila effect yoyote..!!!! Ukiona marekani kaamua kufanya kitu, mchezo ulisha isha kitambo

Aaaah mkuu tafadhali asee, tuheshimiane bana.
 
Korea kachoka kuishi maisha ya amani halafu hizi mbwembwe za vijana nimbaya sana hivi huyu laisi wa korea yeye hana wazee wakumshauli analeta mbwembwe za balehe sasa hiyo balehe yake italifikisha taifa pabaya sana
 
Yaani watu hawajawahi kusikia hata mlio wa Baruti
lakini wanashupalia vita!!
Mtasaga meno vita haina macho
 
Back
Top Bottom