Vita kuu ya kwanza

Vita kuu ya kwanza

mwidiwe

Member
Joined
Jul 22, 2014
Posts
19
Reaction score
4
Madhara gani ya vita kuu ya kwanza ya dunia, ambayo watanzania na waafrika wanayapata na kuishi nayo sasa. Msaada wenu great thinkers.
 
factor ni zilezile:
depopulesheni, hanga, famaini, diziz spridi, ekonomicfoll, ongezeeeni jamani.. ha ha ha..
 
madhara gani ya vita kuu ya kwanza ya dunia, ambayo watanzania na waafrika wanayapata na kuishi nayo sasa. Msaada wenu great thinkers.

ccm...........
 
Back
Top Bottom