Kiranja wa jamii
JF-Expert Member
- Jan 2, 2023
- 963
- 2,195
Kama kuna jambo linakera watu wenye akili timamu ni kuona mashoga wanazidi kuongezeka katika jamii lakini pia agenda yao kupenya kirahisi sana na kubebwa na watu mashuhuri
Hivi karibuni ushoga umezungumzwa sana. Ukifuatilia mijadala unaweza kupandisha kisukari kama unaroho nyepesi kwa namna baadhi ya watu mashuhuri wanavyolichukulia jambo hili hasa hasa wanawake, japo swali pekee la msingi ambalo kwa asilimia kubwa linaonekana kuwakera linaulizwa na wanaume la "kama wao wangependa watoto wao wawe kama hao wanao watetea". Wakiambiwa hivi wanakasirika ukijuiliza wanakasirika nini wakati huo huo wanawatetea unashindwa kuelewa
Binafsi naelewa ukubwa wa swala la ushoga. Kwa uzoefu wangu uliotokana na kuchangamana na vijana umeniwezesha kujua kwanini hao wanaojianika mitandaoni wanapata wapi ujasiri
Hawa wapuuzi wako kimkakati sana. Kiufupi wameshatuweka mateka katika hili swala na tusipochagua siraha makini tutaendelea kuwatumikia kwa kuwasaidia ku "push" agenda yao huku tukidhani tunapambana nao
Tusichoelewa ni kwamba mashoga wenyewe pamoja na "mashoga" zao wanapenda wajadiliwe (kama hivi). Hili kwao tayari ni ushindi hivyo siraha yoyote inayowaleta kwenye jamii inakuwa butu tayari
Shuleni siku hizi kuna watoto wengi mashoga! Cha ajabu hao watoto wakibahatika kujulikana mara nyingi taarifa zinatoka kwa watoto wenzao, kisha Walimu huwataarifu wazazi, wazazi wakiwa waelewa wanalipeleka kwa watu wa ustawi, likifika ustawi polisi nao huingia kati na hatua ya mwisho huwa ni kupelekwa hospitali kupata uthibitisho wa kitabibu baada ya hapo file linarudishwa kabatini kwa kujipa matumaini ya kumnasihi na kumfuatilia mtoto kisha mtoto anarudi shule kuendelea na masomo kwa "matumaini" kwamba ameshauriwa na sasa ataacha tabia hiyo, mtoto anamaliza shule anaingia mtaani au wengine wanaendelea na masomo ya juu na hatimaye wengine wanaingia maofisini kulitumikia Taifa
Kosa kubwa sana lipo hapa kwenye kuweka haya "matumaini" ya kuwa unasihi aliopewa umembadilisha bila kujiridhisha na hapa ndipo tunapotakiwa kuchagua siraha sahihi kwasababu wapo kweli wanaobadilika lakini wapo wengi wanabaki vile vile
Hawa wanaojianika mitandaoni ukifuatilia kwa undani utakuta shule aliyosoma walikwisha mgundua mapema tu na uongozi wa shule ulifuata hatua zote nilizozieleza hapo juu lakini mtoto aliporudi shuleni kuendelea na masomo hizo mamlaka zilijiaminisha kuwa amebadilika pasipo kuwa na uhakika
Ni kweli kabisa kesi nyingi sana za kuwaharibu watoto wa kiume kwa kuwafira ( hili ndilo neno sahihi, anayefanywa kinyume na maumbile ni mwanamke, mwanaume akifanyiwa inaitwa ufiraji! Hapa pia kuna kosa linafanyika kwa kivuli cha kupunguza ukali wa maneno kitu ambacho sio sahihi, dhambi haitakiwi kuonewa aibu inapokemewa).
Kesi nyingi unakuta chimbuko lake liko ndani ya wanafamilia. Kama sio kaka atakuwa mjomba, Baba mdogo au ndugu wa karibu na mara kadhaa utakutana na kijana wa jirani, "ma anko" wa mashuleni au sehemu za ibada hali inayopelekea familia kushindwa kufanya maamuzi sahihi ya kisheria kushughulika na huyu aliyemuharibu kwa mara ya kwanza na akaendelea kumzoesha kuona ni jambo la kawaida
Mara kadhaa nimeshuhudia kesi za aina hii za moja kwa moja ambapo mtoto anasimulia alikuwa akifanyiwa na kaka yake mkubwa, kisha akazoea halafu ikafikia hatua hawezi tena kufanya na kaka yake hivyo inabidi awashawishi watoto wengine wamfanyie.
Simulizi kama hizo ukija huku chini kwenye jamii hasa hasa shule za msingi na sekondari utakutana nazo nyingi mpaka utashangaa mwenyewe na utaumia zaidi utakaposikia mtoto wa miaka 12+ amekwishazoea kufirwa kiasi kwamba anafikia hatua ya "kuwatongoza" vijana kwa kujilengesha ili wamfanyie huo upuuzi na hawa vijana wanaofanya huo upuuzi wako mitaani
Kundi lingine la hawa mashoga liko kwenye hizi saloon za kike. Huko wamejazana wengi sana waliojificha kwenye kivuli cha kujipatia riziki kama hao wafanyabiashara anaopambana nao waziri Gwajima. Ukilichimba hili swala kisukari na presha havikuachi salama kwasababu hali ni mbaya sana. Hapo hatujaangazia kwenye hizi media house, wasanii, taasisi mbalimbali, vyama vya kijamii, serikalini na hata kwenye chama mojawapo kikubwa cha siasa
Ndiomaana ninapo muona waziri Gwajima anapambana na hawa watu mitandaoni najiuliza kama kweli hiyo siraha aliyoichagua itatuvusha kweli? Ni kweli hizi taarifa za huku yanakoanzia, huko mawizarani haziwafikii? Wamezifanyia tafiti kujua kwanini kila siku zinazidi kuongezeka badala ya kupungua?
Hawa watendaji wa huku chini linakoanzia wamewawezesha kiujuzi na kiuwezo kushughulika nalo ili wao wanapolidhibiti huko mitandaoni na hawa wachini walidhibiti lisiendelee kukua?
Uhalisia ulivyo, hawa mnaowaona wanawatetea huko mitandaoni watu kama hao ndio wanaolikwamisha kuthibitiwa pia huku chini
Waziri anapopamba na hao watu, ameshaweka mkakati madhubuti wa kushughulikia hoja za wanaompinga kwa maneno ya kuwafariji wahanga kama:-
"...acheni kuwasema vibaya hamjui kwanini wako hivyo; au kama ndivyo alivyozaliwa unataka yeye afanyeje? au unafikiri yeye amependa kuwa hivyo muacheni aishi anavyotaka au kwani wanaowafanya wao wamefanywa nini... na maneno mengine kedekede yanayowatia moyo wenye tabia hizo lakini yanayowakatisha tamaa wanaochukia na kupambana na ushoga?
Je, Waziri amejiuliza kwa undani hawa watu wanapata wapi ujasiri wa kujibizana naye mitandaoni? Katika hali tuliyonayo kwasasa, mtu mwenye viashiria vyote vya ushoga anawezaje kupata confidence ya kujibizana na waziri kimafumbo mafumbo mitandaoni bila back up! Waziri ana uhakika atazishinda hizo back up za hao watu?
Binafsi napata mashaka sana nikitazama kuanzia huku chini linakoanzia na namna mamlaka za huku chini zinavyoshughulika nalo kisha nikitazama huko juu lilivyo na linavyozidi kuwa kubwa na namna mamlaka za huko juu zinavyoshughulika nalo, wasiwasi wangu upo kwenye siraha zinazochaguliwa kama zina uwezo kweli wa kumuangamiza adui au zinakoleza moto pasipo mamlaka kujua na hatimaye kulifanya jambo lizidi kuwa kubwa?
Tuzisaidie mamlaka kuchagua siraha sahihi, wanaoangamia ni sisi kama Taifa
Hivi karibuni ushoga umezungumzwa sana. Ukifuatilia mijadala unaweza kupandisha kisukari kama unaroho nyepesi kwa namna baadhi ya watu mashuhuri wanavyolichukulia jambo hili hasa hasa wanawake, japo swali pekee la msingi ambalo kwa asilimia kubwa linaonekana kuwakera linaulizwa na wanaume la "kama wao wangependa watoto wao wawe kama hao wanao watetea". Wakiambiwa hivi wanakasirika ukijuiliza wanakasirika nini wakati huo huo wanawatetea unashindwa kuelewa
Binafsi naelewa ukubwa wa swala la ushoga. Kwa uzoefu wangu uliotokana na kuchangamana na vijana umeniwezesha kujua kwanini hao wanaojianika mitandaoni wanapata wapi ujasiri
Hawa wapuuzi wako kimkakati sana. Kiufupi wameshatuweka mateka katika hili swala na tusipochagua siraha makini tutaendelea kuwatumikia kwa kuwasaidia ku "push" agenda yao huku tukidhani tunapambana nao
Tusichoelewa ni kwamba mashoga wenyewe pamoja na "mashoga" zao wanapenda wajadiliwe (kama hivi). Hili kwao tayari ni ushindi hivyo siraha yoyote inayowaleta kwenye jamii inakuwa butu tayari
Shuleni siku hizi kuna watoto wengi mashoga! Cha ajabu hao watoto wakibahatika kujulikana mara nyingi taarifa zinatoka kwa watoto wenzao, kisha Walimu huwataarifu wazazi, wazazi wakiwa waelewa wanalipeleka kwa watu wa ustawi, likifika ustawi polisi nao huingia kati na hatua ya mwisho huwa ni kupelekwa hospitali kupata uthibitisho wa kitabibu baada ya hapo file linarudishwa kabatini kwa kujipa matumaini ya kumnasihi na kumfuatilia mtoto kisha mtoto anarudi shule kuendelea na masomo kwa "matumaini" kwamba ameshauriwa na sasa ataacha tabia hiyo, mtoto anamaliza shule anaingia mtaani au wengine wanaendelea na masomo ya juu na hatimaye wengine wanaingia maofisini kulitumikia Taifa
Kosa kubwa sana lipo hapa kwenye kuweka haya "matumaini" ya kuwa unasihi aliopewa umembadilisha bila kujiridhisha na hapa ndipo tunapotakiwa kuchagua siraha sahihi kwasababu wapo kweli wanaobadilika lakini wapo wengi wanabaki vile vile
Hawa wanaojianika mitandaoni ukifuatilia kwa undani utakuta shule aliyosoma walikwisha mgundua mapema tu na uongozi wa shule ulifuata hatua zote nilizozieleza hapo juu lakini mtoto aliporudi shuleni kuendelea na masomo hizo mamlaka zilijiaminisha kuwa amebadilika pasipo kuwa na uhakika
Ni kweli kabisa kesi nyingi sana za kuwaharibu watoto wa kiume kwa kuwafira ( hili ndilo neno sahihi, anayefanywa kinyume na maumbile ni mwanamke, mwanaume akifanyiwa inaitwa ufiraji! Hapa pia kuna kosa linafanyika kwa kivuli cha kupunguza ukali wa maneno kitu ambacho sio sahihi, dhambi haitakiwi kuonewa aibu inapokemewa).
Kesi nyingi unakuta chimbuko lake liko ndani ya wanafamilia. Kama sio kaka atakuwa mjomba, Baba mdogo au ndugu wa karibu na mara kadhaa utakutana na kijana wa jirani, "ma anko" wa mashuleni au sehemu za ibada hali inayopelekea familia kushindwa kufanya maamuzi sahihi ya kisheria kushughulika na huyu aliyemuharibu kwa mara ya kwanza na akaendelea kumzoesha kuona ni jambo la kawaida
Mara kadhaa nimeshuhudia kesi za aina hii za moja kwa moja ambapo mtoto anasimulia alikuwa akifanyiwa na kaka yake mkubwa, kisha akazoea halafu ikafikia hatua hawezi tena kufanya na kaka yake hivyo inabidi awashawishi watoto wengine wamfanyie.
Simulizi kama hizo ukija huku chini kwenye jamii hasa hasa shule za msingi na sekondari utakutana nazo nyingi mpaka utashangaa mwenyewe na utaumia zaidi utakaposikia mtoto wa miaka 12+ amekwishazoea kufirwa kiasi kwamba anafikia hatua ya "kuwatongoza" vijana kwa kujilengesha ili wamfanyie huo upuuzi na hawa vijana wanaofanya huo upuuzi wako mitaani
Kundi lingine la hawa mashoga liko kwenye hizi saloon za kike. Huko wamejazana wengi sana waliojificha kwenye kivuli cha kujipatia riziki kama hao wafanyabiashara anaopambana nao waziri Gwajima. Ukilichimba hili swala kisukari na presha havikuachi salama kwasababu hali ni mbaya sana. Hapo hatujaangazia kwenye hizi media house, wasanii, taasisi mbalimbali, vyama vya kijamii, serikalini na hata kwenye chama mojawapo kikubwa cha siasa
Ndiomaana ninapo muona waziri Gwajima anapambana na hawa watu mitandaoni najiuliza kama kweli hiyo siraha aliyoichagua itatuvusha kweli? Ni kweli hizi taarifa za huku yanakoanzia, huko mawizarani haziwafikii? Wamezifanyia tafiti kujua kwanini kila siku zinazidi kuongezeka badala ya kupungua?
Hawa watendaji wa huku chini linakoanzia wamewawezesha kiujuzi na kiuwezo kushughulika nalo ili wao wanapolidhibiti huko mitandaoni na hawa wachini walidhibiti lisiendelee kukua?
Uhalisia ulivyo, hawa mnaowaona wanawatetea huko mitandaoni watu kama hao ndio wanaolikwamisha kuthibitiwa pia huku chini
Waziri anapopamba na hao watu, ameshaweka mkakati madhubuti wa kushughulikia hoja za wanaompinga kwa maneno ya kuwafariji wahanga kama:-
"...acheni kuwasema vibaya hamjui kwanini wako hivyo; au kama ndivyo alivyozaliwa unataka yeye afanyeje? au unafikiri yeye amependa kuwa hivyo muacheni aishi anavyotaka au kwani wanaowafanya wao wamefanywa nini... na maneno mengine kedekede yanayowatia moyo wenye tabia hizo lakini yanayowakatisha tamaa wanaochukia na kupambana na ushoga?
Je, Waziri amejiuliza kwa undani hawa watu wanapata wapi ujasiri wa kujibizana naye mitandaoni? Katika hali tuliyonayo kwasasa, mtu mwenye viashiria vyote vya ushoga anawezaje kupata confidence ya kujibizana na waziri kimafumbo mafumbo mitandaoni bila back up! Waziri ana uhakika atazishinda hizo back up za hao watu?
Binafsi napata mashaka sana nikitazama kuanzia huku chini linakoanzia na namna mamlaka za huku chini zinavyoshughulika nalo kisha nikitazama huko juu lilivyo na linavyozidi kuwa kubwa na namna mamlaka za huko juu zinavyoshughulika nalo, wasiwasi wangu upo kwenye siraha zinazochaguliwa kama zina uwezo kweli wa kumuangamiza adui au zinakoleza moto pasipo mamlaka kujua na hatimaye kulifanya jambo lizidi kuwa kubwa?
Tuzisaidie mamlaka kuchagua siraha sahihi, wanaoangamia ni sisi kama Taifa