Vita baina ya Urusi na Ukraine

Vita baina ya Urusi na Ukraine

kibosilee

Member
Joined
Oct 21, 2012
Posts
46
Reaction score
47
Nilitegemea vile vikundi vinavyojiita ISIS,AL QAEDA na matawi yake mengine kwenye huu mgogoro labda hata na wao wajitokeze kuunga mkono upande wa Urusi. Kwakuwa adui wakubwa wanaoisapoti Ukraine ni NATO nyuma yao akiwa Mmarekani kama kiranja wao.

Nasema hivi kwakuwa vikindi hivi hudai adui yao mkubwa ni mataifa ya magharibi kwa kile kinachoitwa vita dhidi ya UGAIDI/MAGAIDI ambapo walengwa wakubwa ni nchi zenye mlengo wa kiislamu.

Katika kipindi hiki ndio ilikuwa nafasi nzuri kwao kuunda nguvu na Mrusi kuwaumiza NATO.
Lakini waapi huwezi kusikia chochote kutoka hayo makundi kwakuwa tu yaliundwa na Mmarekani mwenyewe kwa ajili ya uvamizi halamu ktk nchi za Arabs.
download.jpeg.jpg
 
Inasikitisha sana jamaa wanachokifanya ktk huu ulimwengu. Ni hivyo tu wameweza sana kuteka minds sana za watu wanaopenda kusikiliza au kutazama habari kupitia Media zao za kimkakati. Yani unakuta kuna mbongo humwambii chochote kuhusu hao wapuuzi
 
Ufala mwingine kama huu kaandike fesibuku sio humu
 
Nilitegemea vile vikundi vinavyojiita ISIS,AL QAEDA na matawi yake mengine kwenye huu mgogoro labda hata na wao wajitokeze kuunga mkono upande wa Urusi. Kwakuwa adui wakubwa wanaoisapoti Ukraine ni NATO nyuma yao akiwa Mmarekani kama kiranja wao.

Nasema hivi kwakuwa vikindi hivi hudai adui yao mkubwa ni mataifa ya magharibi kwa kile kinachoitwa vita dhidi ya UGAIDI/MAGAIDI ambapo walengwa wakubwa ni nchi zenye mlengo wa kiislamu.

Katika kipindi hiki ndio ilikuwa nafasi nzuri kwao kuunda nguvu na Mrusi kuwaumiza NATO.
Lakini waapi huwezi kusikia chochote kutoka hayo makundi kwakuwa tu yaliundwa na Mmarekani mwenyewe kwa ajili ya uvamizi halamu ktk nchi za Arabs.View attachment 2137599
WAGIPANAJI DHIDI YA JIHADISTS WAJIUNGA NA URUSI

Putin amekubali kwamba Urusi inapaswa kuruhusu wapiganaji wa kigeni kujiunga na uhasama huo

Zaidi ya wapiganaji wa kigeni 16,000, wengi wao kutoka MASHARIKI YA KATI na wazoefu katika mapigano dhidi ya WANAJIHADI, wanataka kwenda Ukraine na kujiunga na vikosi vya Jamhuri za Watu wa Donetsk na Lugansk zinazoungwa mkono na Urusi, waziri wa ulinzi wa Russia alidai Ijumaa. Jeshi la Urusi limependekeza kuwapa mwanga wa kijani, afisa huyo alisema, wakati wa mkutano wa baraza la usalama la kitaifa.

"Tunaamini itakuwa sahihi kujibu maombi hayo, hasa kwa vile hawafanyi hivyo kwa ajili ya fedha, lakini kwa sababu hayo ndiyo matakwa yao. Tunawajua wengi wa watu hao, walitusaidia kupigana dhidi ya [kundi la kigaidi] ISIL katika wakati mgumu zaidi katika miaka kumi iliyopita,” Sergei Shoigu alikumbuka.

Rais Vladimir Putin alisema anaunga mkono wazo hilo, akiashiria kwamba wapinzani wa Urusi nchini Ukraine walikuwa wanafanya jambo kama hilo pia.
 
WAGIPANAJI DHIDI YA JIHADISTS WAJIUNGA NA URUSI

Putin amekubali kwamba Urusi inapaswa kuruhusu wapiganaji wa kigeni kujiunga na uhasama huo

Zaidi ya wapiganaji wa kigeni 16,000, wengi wao kutoka MASHARIKI YA KATI na wazoefu katika mapigano dhidi ya WANAJIHADI, wanataka kwenda Ukraine na kujiunga na vikosi vya Jamhuri za Watu wa Donetsk na Lugansk zinazoungwa mkono na Urusi, waziri wa ulinzi wa Russia alidai Ijumaa. Jeshi la Urusi limependekeza kuwapa mwanga wa kijani, afisa huyo alisema, wakati wa mkutano wa baraza la usalama la kitaifa.

"Tunaamini itakuwa sahihi kujibu maombi hayo, hasa kwa vile hawafanyi hivyo kwa ajili ya fedha, lakini kwa sababu hayo ndiyo matakwa yao. Tunawajua wengi wa watu hao, walitusaidia kupigana dhidi ya [kundi la kigaidi] ISIL katika wakati mgumu zaidi katika miaka kumi iliyopita,” Sergei Shoigu alikumbuka.

Rais Vladimir Putin alisema anaunga mkono wazo hilo, akiashiria kwamba wapinzani wa Urusi nchini Ukraine walikuwa wanafanya jambo kama hilo pia.
NILIPOST HIKI KITU JUZI TU
 
WAGIPANAJI DHIDI YA JIHADISTS WAJIUNGA NA URUSI

Putin amekubali kwamba Urusi inapaswa kuruhusu wapiganaji wa kigeni kujiunga na uhasama huo

Zaidi ya wapiganaji wa kigeni 16,000, wengi wao kutoka MASHARIKI YA KATI na wazoefu katika mapigano dhidi ya WANAJIHADI, wanataka kwenda Ukraine na kujiunga na vikosi vya Jamhuri za Watu wa Donetsk na Lugansk zinazoungwa mkono na Urusi, waziri wa ulinzi wa Russia alidai Ijumaa. Jeshi la Urusi limependekeza kuwapa mwanga wa kijani, afisa huyo alisema, wakati wa mkutano wa baraza la usalama la kitaifa.

"Tunaamini itakuwa sahihi kujibu maombi hayo, hasa kwa vile hawafanyi hivyo kwa ajili ya fedha, lakini kwa sababu hayo ndiyo matakwa yao. Tunawajua wengi wa watu hao, walitusaidia kupigana dhidi ya [kundi la kigaidi] ISIL katika wakati mgumu zaidi katika miaka kumi iliyopita,” Sergei Shoigu alikumbuka.

Rais Vladimir Putin alisema anaunga mkono wazo hilo, akiashiria kwamba wapinzani wa Urusi nchini Ukraine walikuwa wanafanya jambo kama hilo pia.
Wanajihadi wote ni mapandikizi ya Marekani. Ndio maana pamoja na kudai kuwa wanataka kusimamisha utawala wa kiislamu katika dunia, hauwezi kusikia wameanzisha mashambulizi dhidi ya Israeli. Mashambulizi yao yote yanaishia kwenye nchi zao za kiislam ambazo unakuta 98% ya raia wote ni waislamu wenzao. Sasa unajiuliza utawala wa kiislamu unausimamishaje katika nchi ambayo tayari ina 98% ya raia wa kiislamu, kwanini wasisogee hata Pale Palestina wakawasaidia wapalestina (waislamu wenzao) kusimamisha uislamu wao pale Israeli kupitia ardhi ya wapalestina? Hawa wanatumiwa kwa lengo la kuhatarisha usalama, ili wamarekani watapokuja kujifanya wana wasaka watumie fursa hiyo kuchota mafuta na rasilimali zingine kiurahisi. Hii ipo hata kwa nchi za Congo na Msumbiji nk. Linaundwa kundi la kuanzisha mapambano dhidi ya serikali kwa sababu maalumu.
 
Nilitegemea vile vikundi vinavyojiita ISIS,AL QAEDA na matawi yake mengine kwenye huu mgogoro labda hata na wao wajitokeze kuunga mkono upande wa Urusi. Kwakuwa adui wakubwa wanaoisapoti Ukraine ni NATO nyuma yao akiwa Mmarekani kama kiranja wao.

Nasema hivi kwakuwa vikindi hivi hudai adui yao mkubwa ni mataifa ya magharibi kwa kile kinachoitwa vita dhidi ya UGAIDI/MAGAIDI ambapo walengwa wakubwa ni nchi zenye mlengo wa kiislamu.

Katika kipindi hiki ndio ilikuwa nafasi nzuri kwao kuunda nguvu na Mrusi kuwaumiza NATO.
Lakini waapi huwezi kusikia chochote kutoka hayo makundi kwakuwa tu yaliundwa na Mmarekani mwenyewe kwa ajili ya uvamizi halamu ktk nchi za Arabs.View attachment 2137599
Isis ni tawi la kigaidi la USA
 
Back
Top Bottom