Visiwani sherehe za mapinduzi zimeandaliwa kwa bajeti kubwa huku bara siku ya uhuru mtaambiwa hakuna sherehee subirini

Visiwani sherehe za mapinduzi zimeandaliwa kwa bajeti kubwa huku bara siku ya uhuru mtaambiwa hakuna sherehee subirini

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,525
Viongozi wa CCM wanajipanga kusherehekea kwa nguvu maadhimisho ya Mapinduzi Zanzibar. Hili ni tukio muhimu lenye kukumbusha na kuimarisha utambulisho wa Zanzibar na watu wake.

Kwa miaka minane sasa viongozi wa CCM wamekuwa wakifuta sherehe za Uhuru wa Tanganyika. Si bahati mbaya
 
Tanganyika ilishajifia mioyoni mwa hawa viongozi Sasa kuanzia Makamu wa Rais na Cabinet nzima.
Tuwape support Gen Z waturudishie Tanganyika yetu au kama ni kisiasa basi tuifute CCM kabisa.
 
Back
Top Bottom