Visigino kuuma

Visigino kuuma

makasha

Member
Joined
Sep 29, 2013
Posts
42
Reaction score
1
Habari wanajamii forums!

Naomba kuuliza, nikikaa muda mrefu kwenye kiti au nikilala baada ya kuamka na kuanza kutembea visigino vinauma sana kama dak 5 hv ndo narud kwenye hali yangu ya kawaida.

Hili tatzo ni linajirudia kila nikikaa au kulala na kuamka. Naomba msaada tatzo ni nn?

Aksanten sana.
 
Pole..nlimuonaga bibi angu akichukua mchanga anaupasha kwa moto uwe wa moto then anakanyaga kwenye kile kisigino kinachomuuma! cjui ni ugonjwa gani wala chanzo chake ni nn
 
Habari wanajamii forum,
naomba kuuliza, nikikaa muda mrefu kwenye kiti au nikilala baada ya kuamka na kuanza kutembea visigino vinauma sana kama dak 5 hv ndo narud kwenye hali yangu ya kawaida,

Hili tatzo ni linajirudia kila nikikaa au kulala na kuamka. Naomba msaada tatzo ni nn?

Aksanten sana.
pole mkuu nilipata shida hiyo kwa miaka mingi nilitibiwa na Dr.Aisha Kigoda ila sikumbuki ni dawa gani aliniandikia.

Dada Aisha, iwapo upo jf tafadhali karibu umsaidie mkuu hapa.
 
Habari wanajamii forum,
naomba kuuliza, nikikaa muda mrefu kwenye kiti au nikilala baada ya kuamka na kuanza kutembea visigino vinauma sana kama dak 5 hv ndo narud kwenye hali yangu ya kawaida,

Hili tatzo ni linajirudia kila nikikaa au kulala na kuamka. Naomba msaada tatzo ni nn?

Aksanten sana.
MKUU hata mimi nina tatizo hilo,ukipata tiba na mimi nifahamishe!
 
Tumia newrobian nenda duka la madawa hata mimi ilinitokeaga nikawekaga uzi hapa jf sikupata msaada naenda hosp nikapewa dawa ambazo hazikunisaidi kwabahati nzuri nilikutana na mama mmoja dakt mstaafu nikamweleza akaniambia nitumie hizo dawa tena zinauzwa buku mbili tu, hadi leo sisikii tena maumivu.
 
Tumia newrobian nenda duka la madawa hata mimi ilinitokeaga nikawekaga uzi hapa jf sikupata msaada naenda hosp nikapewa dawa ambazo hazikunisaidi kwabahati nzuri nilikutana na mama mmoja dakt mstaafu nikamweleza akaniambia nitumie hizo dawa tena zinauzwa buku mbili tu, hadi leo sisikii tena maumivu.
ASANTE
 
NDO NILIKUWA NATAFUTA DAWA
Naomba nikuulize maswali.
1. Je huwa una vaa viatu virefu?
2.Au huwa unapenda kuvaa viatu vya wazi na visigino vikatokeza kwa nyuma? Nijibu nikuelekeze dawa mbili rahisi zitakazo kusaidia
 
Naomba nikuulize maswali.
1. Je huwa una vaa viatu virefu?
2.Au huwa unapenda kuvaa viatu vya wazi na visigino vikatokeza kwa nyuma? Nijibu nikuelekeze dawa mbili rahisi zitakazo kusaidia


Mkuu, kama ikiwa ni hivyo dawa ni ipi??
 
Back
Top Bottom