Visa vya matapeli na watoto wa mjini

Visa vya matapeli na watoto wa mjini

Jamaa mmoja alipanda zile flats za Ubungo zile za zamani mpaka juu halafu akaaza kushuka taratibu kidogo kuna muuza mayai akapita na baiskeli yake... (Ilikuwa ratiba yake kupita kila siku kumbe jamaa kamlia timing)
Akiwa ghorofa ya tatu akamuita apandishe tray 2 za mayai ghorofa ya nne... Halafu akajifanya kumuita mkewe ayapokee... Wakapishana ghorofa ya pili akamwambia atamkuta chini anamlindia baiskeli na mayai yake kisha atamlipa
Kwa mwonekano wake wa kipapaa muuza mayai hakumtilia shaka... Lakini kufika ghorofa husika hakuna watu wote wameshaondoka kurudi chini hakuna baiskeli wala mayai

Jr
Jamaa akabaki na zile tray 2 mkononi, doooh bongo nyoso hakiyanani!
 
NISHAFANYA NA BADO NAFANYA LAKINI KWA MALAYA TU,NAINGIA BAR HASWA ZILE ZENYE GESTI KWENYE MACHANGU,NACHAGUA TOTO ZURI LINALOLIPA NA WENGI WAO UZURI KICHWANI NI ZERO.KWA MFANO LAST WEEK NILIPIGA SINZA DEMU ZURI KWELI LIKANIPA HADI TIGO KWA KUJITUMA SANA...NINACHOFANYA NALIITA NAKAA NAYE MEZANI NAAGIZA BIA SIO ZAIDI YA SH 10,000 KWAKE NA KWANGU YAANI BIA KAMA NANE HIVI,TUNAINGIA CHUMBANI,KUANZIA NINAPOLIPIA BILI YA BIA NA RECEPTION NATOA HELA KWENYE POCHI LILILONONA ILA SASAAAAA...HILO POCHI LIMEJAA MANOTI YA BURUNDI, KWACHA ZA ZAMANI ZA ZAMBIA MANOTI YA CENTRAL AFRICAN REPUBLIC NA YA ZIMBABWE, USINIULIZE NAYATOA WAPI NINAYO MENGI TUNASINDIKIZIA NA 5000 YA KIBONGO,HADI HAPO DEMU IMANI IPO MAANA AKILI YAKE NI KUIBA HILO POCHI,TUKIINGIA CHUMBANI AKIANZA KUDAI HELA MBELE NAJIFANYA SIJASIKIA NAWEKA LILE POCHI MEZANI,SIJAWAHI FELI HATA SIKU MOJA,HAPO UNAPEWA MAUNO HADI BASI NIKIJISIKIA KURIDHIKA NAJIFANYA KAMA NAMUOMBA TULALE KIDOGO TUTAENDELEA,AFTER 20 MINUTES NAJIFANYA KUKOROMA YEYE ATAKACHOFANYA NI KUNYATA NA KUIBA POCHI NA KUKIMBIA NA POCHI LILONONA,LAST WEEK TU NIMEFANIKISHA HII ILA MUNGU ANISAIDIE NISIJE KUTANA NA MSOMI AATAKAYESTUKIA YALE MANOTI NI TAKATAKA


Jr
 
Una kazi ya kukusanya mikwacha ya nje khaaaaa
NISHAFANYA NA BADO NAFANYA LAKINI KWA MALAYA TU,NAINGIA BAR HASWA ZILE ZENYE GESTI KWENYE MACHANGU,NACHAGUA TOTO ZURI LINALOLIPA NA WENGI WAO UZURI KICHWANI NI ZERO.KWA MFANO LAST WEEK NILIPIGA SINZA DEMU ZURI KWELI LIKANIPA HADI TIGO KWA KUJITUMA SANA...NINACHOFANYA NALIITA NAKAA NAYE MEZANI NAAGIZA BIA SIO ZAIDI YA SH 10,000 KWAKE NA KWANGU YAANI BIA KAMA NANE HIVI,TUNAINGIA CHUMBANI,KUANZIA NINAPOLIPIA BILI YA BIA NA RECEPTION NATOA HELA KWENYE POCHI LILILONONA ILA SASAAAAA...HILO POCHI LIMEJAA MANOTI YA BURUNDI, KWACHA ZA ZAMANI ZA ZAMBIA MANOTI YA CENTRAL AFRICAN REPUBLIC NA YA ZIMBABWE, USINIULIZE NAYATOA WAPI NINAYO MENGI TUNASINDIKIZIA NA 5000 YA KIBONGO,HADI HAPO DEMU IMANI IPO MAANA AKILI YAKE NI KUIBA HILO POCHI,TUKIINGIA CHUMBANI AKIANZA KUDAI HELA MBELE NAJIFANYA SIJASIKIA NAWEKA LILE POCHI MEZANI,SIJAWAHI FELI HATA SIKU MOJA,HAPO UNAPEWA MAUNO HADI BASI NIKIJISIKIA KURIDHIKA NAJIFANYA KAMA NAMUOMBA TULALE KIDOGO TUTAENDELEA,AFTER 20 MINUTES NAJIFANYA KUKOROMA YEYE ATAKACHOFANYA NI KUNYATA NA KUIBA POCHI NA KUKIMBIA NA POCHI LILONONA,LAST WEEK TU NIMEFANIKISHA HII ILA MUNGU ANISAIDIE NISIJE KUTANA NA MSOMI AATAKAYESTUKIA YALE MANOTI NI TAKATAKA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wananitongoza nawakubali sasa naanza kuwapanga namna ya kula nauli yake ukiwa mgumu kama upo mkoani nakuleta mpaka Dom kuna Bar yangu maarufu kwa kutapelia nakupeleka pale kabla hujachukua room mm si ndo mwenyeji nakwambia nipe hela ya lodge ukinipa imekula kwako natokea mlango wa pili.

Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha ha ha ha ha,kuna kitu nimejifunza hapa.
 
Unauziwa nguo usiku, kesho ukirudi lile eneo wamepanga viazi
Niliwahi fanya ujinga huu kigoma ujiji, sijisifii lakini kila siku nimekuwa nikijutia kitendo nilichokifanya na nina imani hata huyo niliyemfanyia atakuwa amenisamehe.

Ilikuwa Kigoma, mpaka siku ya tukio nilikuwa nimeshakaa siku 21 nalala msikitini, mpango wangu ulikuwa kuvuka kuingia nchi jirani, lakini kutokana na mambo yalivyokuwa tofauti najikuta nagika kigoma nina shilingi hamsini tu, muda ulikuwa ni ule wa salat magharib, sipendi kuelezea sana ila nilikomaa mui huo ka hizo siku 21 mapanga na kupangua, cna ndugu zaidi ya Utanzania wangu, hiyo siku nakumbuka...nitaendelea

Ilikuwa ni jumanne ktk pitapita zangu nikaona tangazo la mganga wa kienyeji kubwa kwamba ndio kiboko huyo mama na anuani zake pale, nikafuata maelekezo mpaka ujiji nikaulizauliza nikaelekezwa nikafika, wakati mimi naingia kulikuwa kuna jamaa na wakezake wawili walikuwa ndani kwa huyo maman a muda huo ndio walikuwaw akiondoka, nikasubiri mpaka wametokomea ndipo nami nikabisha hodi na nikakaribishwa ndani, nikamsalimu yule bi mkubwa kisha nikatulia tuli sikusema shida yangu, yule bibi akaseti mitambo yake pale kisha akaanza yeye kunichana mimi matatizo yangu na tangu siku naamua kutokomea huko, yaani hakuacha kitu ikumbukwe mimi sikwenda huko kuinjoy maisha hapana, nilikuwa na targets zangu ambazo hatanikiamua kuzianika hapa mnaweza kunielewa tofauti ila kifupi ni ktk kupambana nitoboe ninakotaka kwenda..bibi akaongeaaaa sana na mwisho nikaona naniwekea usiku nikamuuliza kama tayari matatizo yangu yote ushayajua unanisaidiaje? Akasema yeye atanisaidia kwa elfu arobaini, Dah, nikasema huyu bibi mwehu nini? Ina maana kashindwa kujua kama hapa sina hata kumi? Nikamwambia fanya dawa ila moyoni nilishavurugwa kwa tabia ile ya kutaka pesa wakati mfukoni sina mia nyekundu, Yule mama alinyanyuka akaingia ndani kuongeza dawa huku nyuma mimi nikabeba simu yake Nokia ya tochi na kwenye ungo kulikuwa na shilingi elfu hamsini ambazo nahisi wale niliopishana nao ndio walizitoa, nikabeba kisha nikamuandikia ujumbe ktk kipande cha gazeni "nikifanikiwa nitarudi, ahsante kwa msaada wako" nikaondoka, nikavaa lemba langu (Kama wapalestina) nilikuwa na kijiti nikakiweka mdomoni kisha nikanuia ninavyojua huku natokomea kule chini ziwani....ni story ndefu ila mwisho wa siku yule bibi alikuja ziwani akinitafuta na akaja kuniuliza kijana hujamuona kijana flani anarangi hivi na nywele zake ndefu kazibana kwa nyuma? Ananiuliza mimi na mtu anayemuulizia ni Mimi...nikamwambia sijamuona mama huku natafuna kile kjiti na napiga dua zote mnazo zijua na msizo zijua ili yule aondoke niendelee na safari, karata ilikuwa upande wangu ile ibilisi nikaiepuka ila sasa mbele ya safari boti ( mtumbwi wenye engine mbili) ulizama jirani na hifadhi ya gombe....naomba niishie hapa kwa sababu nazojua mwenyewe
 
Unauziwa nguo usiku, kesho ukirudi lile eneo wamepanga viazi
Niliwahi fanya ujinga huu kigoma ujiji, sijisifii lakini kila siku nimekuwa nikijutia kitendo nilichokifanya na nina imani hata huyo niliyemfanyia atakuwa amenisamehe.

Ilikuwa Kigoma, mpaka siku ya tukio nilikuwa nimeshakaa siku 21 nalala msikitini, mpango wangu ulikuwa kuvuka kuingia nchi jirani, lakini kutokana na mambo yalivyokuwa tofauti najikuta nagika kigoma nina shilingi hamsini tu, muda ulikuwa ni ule wa salat magharib, sipendi kuelezea sana ila nilikomaa mui huo ka hizo siku 21 mapanga na kupangua, cna ndugu zaidi ya Utanzania wangu, hiyo siku nakumbuka...nitaendelea


Jr
 
Back
Top Bottom