Visa na visanga vya misibani

Mkuu na umaarufu wote huu kumbe unakaa kwa mtogole hope so utakuwa ulishakabwa kabwa siku za nyuma😂😂
 
Wengine wanatumia misiba kama sehemu ya kukutania,wengi hulala misibani ili wapate chance ya kugegedana tena utakuta wengine ni wake za watu wengine ni ndugu wanakulana wenyewe kwa wenyewe!
 
nina shida na hizi takataka za sasa hivi,
Jitu limejichubua,
wigi chafu na lina nuka,
makucha marefu machafu,
limejipulizia pafyumu kali, kuzuia harufu za uvundo kutoka kule.
limeweka miwani ya jua hata kama liko kivulini
macho juu juu kuangalia wanao mtazama.
 
Wengine wanatumia misiba kama sehemu ya kukutania,wengi hulala misibani ili wapate chance ya kugegedana tena utakuta wengine ni wake za watu wengine ni ndugu wanakulana wenyewe kwa wenyewe!
Kweli..!Misiba ya watu maarufu mademu wengi uenda kutafuta madanga wala si kuzika😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…