Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 1,831
- 3,063
Huu ni ukweli kabisa wala c uongoMkuu acha uongo bana yaani mtu ameshakufa , kisha akagombanie kuzikwa kwa mfalme tena , kwel tena na hiki ni kituko cha msibani aisee , hebu nieleze anaanzaje anzaje kwenda kugombania kuzikwa pahala alipozikwa mfalme , huku yeye ameshakufa
Mkuu na umaarufu wote huu kumbe unakaa kwa mtogole hope so utakuwa ulishakabwa kabwa siku za nyuma😂😂Kule kwetu alifariki mama mmoja, alikua anazo anazo. Miradi yake ilikua ni pamoja na guest house ya vyumba 25, kuku 600 wa nyama na mayai pamoja na ng’ombe.
Siku ya karamu ya msiba wake, walichinja kuku kama 50, ng’ombe mmoja. Kulikua na buffet la ndizi nyama, wali mweupe, pilau, kuku chips. Kuku mchuzi. Kila mtu alipata soda moja.
Ule msiba mpaka leo unazungumziwa huku kwetu Kwamtogole.
Vipi mkuu kwa hiyo uliamua kuazima Tshirt kwa mshikaji ili upate plate ya wali au?Nilienda kwenye msiba wa mwana CCM mmoja hivi alikuwa mkubwa kidogo. Pale ulikuwa hupewi plate kama hujavaa yale manguo yao
Hapana. Tuliwaangalia tu mpaka walipomaliza tukaenda makaburini.Vipi mkuu kwa hiyo uliamua kuazima Tshirt kwa mshikaji ili upate plate ya wali au?
baby utarudi usukumani tu usiwaze mambo ya dar waachie kina mleta madaSanaa hata Dar kuna maeneo wanazikwa watu mashughuli tu
Ni hapo ''chacha''. Halafu unakuta mtu anasema ngoja afe aachane na tabu za dunia.Hadi makaburini nako kuna classes??? Sikuwahi kujua, kumbe tabu iko pale pale
Hadi makaburini nako kuna classes??? Sikuwahi kujua, kumbe tabu iko pale pale
Ningekuwa mimi akinituma namwambia "mzee usimalize hizo nyama nimezihesabu"Mimi nilienda kujijini kwenye msiba wa babu, kuna mzee kila tukianza kula hasa nyama! Ananituma huku anaendelea kuzilamba nyama, nikirudi nakuta mifupa!
Hapa ndio umuhimu wa class A unapoonekana 😁Na **** watu wanapoteza kaburi lililokuwepo, wanazika juu ya marehemu wa zamani
Kumbe anaenda kukutana na tabu mpya....Ni hapo ''chacha''. Halafu unakuta mtu anasema ngoja afe aachane na tabu za dunia.
Kweli..!Misiba ya watu maarufu mademu wengi uenda kutafuta madanga wala si kuzika😂😂Wengine wanatumia misiba kama sehemu ya kukutania,wengi hulala misibani ili wapate chance ya kugegedana tena utakuta wengine ni wake za watu wengine ni ndugu wanakulana wenyewe kwa wenyewe!
Duh binadamu wako bize kwelikweli.Kweli..!Misiba ya watu maarufu mademu wengi uenda kutafuta madanga wala si kuzika😂😂
Hahah haswaa!!Hapa ndio umuhimu wa class A unapoonekana 😁
SongeaLizaboni ndio makaburi ya wapi hayo?