Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,445
Wakuu
Lleo ni siku ya Gonjwa linalonyima wanasansi usingizi . Any way issue hapa ni kuleta mjadala, mtazamo, maoni na dukuduku wa wanajukwaa wa teknolojia na sayansi
Nawasilisha
Lleo ni siku ya Gonjwa linalonyima wanasansi usingizi . Any way issue hapa ni kuleta mjadala, mtazamo, maoni na dukuduku wa wanajukwaa wa teknolojia na sayansi
- Chanzo cha HIV kuwa afrika ni theory ya kweli au tunasingiziwa?
- Baadhi ya wasomi wansema imekuwa ngumu dawa kupatikana sababu ulimwengu umedanganywa chanzo . Je wewe una maoni gani?
- Wengine wanasema kirusi cha HIV kilitengenzwa na wanasansi maabara huko USA ila kilivyoleta madhara ambayo hayakutegemewa ndiyo zigo likarushiwa sokwe
Nawasilisha
Last edited by a moderator: