Nmechk snDawa ni kuwahi. Ukiona mtu anaonesha dalili za kuomba hela unamuwahi na kumuomba yeye kwanza.
Unashindwa kuwakatalia huko mpaka uje ututangazie?Ndugu zangu habarini?
Siku hizi imezuka tabia ya watu kuomba pesa hovyo especially ikifikia mwisho wa mwezi.
Yan mtu akisikia una kazi, kila mwisho wa mwezi lazima atengeneze shida.
Tunapenda sana kusaidia ndugu, jamaa na marafiki lakini tambueni hata sisi tunaofanya kazi tuna yetu.
Wengine hatupendi kuombaomba sio sababu sina matatizo ila sababu najiheshimu na ninajitambua. Kuombaomba ni tabia mbaya.
Sikatai kuwa kuna siku nawakopa wenzangu lakini ni mara chache sana na hadi nilazimike kufanya hayo.
Mnapoona tupo kimya, msidhani tuna pesa. Tuna madeni lukuki, tuna makodi, tuna mahitaji binafdi, wategemezi nk.
Mtatuchukia bure na kutusababishia tupate dhambi ndogondogo za kudanganya kuwa tumetimuliwa kazini.
Mimi kuna jamaa yangu aliniomba nimkopeshe kiasi fulani nikampa, kabla hajalipa mwezi uliofuata akaniomba tena pesa nikampa, next month akanipiga tena kizinga nkamwambia sina. Akaniblok mana akaniona ni jitu baya nsiyefaa tena.Ndugu zangu habarini?
Siku hizi imezuka tabia ya watu kuomba pesa hovyo especially ikifikia mwisho wa mwezi.
Yan mtu akisikia una kazi, kila mwisho wa mwezi lazima atengeneze shida.
Tunapenda sana kusaidia ndugu, jamaa na marafiki lakini tambueni hata sisi tunaofanya kazi tuna yetu.
Wengine hatupendi kuombaomba sio sababu sina matatizo ila sababu najiheshimu na ninajitambua. Kuombaomba ni tabia mbaya.
Sikatai kuwa kuna siku nawakopa wenzangu lakini ni mara chache sana na hadi nilazimike kufanya hayo.
Mnapoona tupo kimya, msidhani tuna pesa. Tuna madeni lukuki, tuna makodi, tuna mahitaji binafdi, wategemezi nk.
Mtatuchukia bure na kutusababishia tupate dhambi ndogondogo za kudanganya kuwa tumetimuliwa kazini.
Dada mzuri acha uchoyoOmba omba sio wa kuwaendekeza, saidia wale ambao unaona kweli wana shida.
Bora wakuite mchoyo kuliko kukuchuna kila wanapojiskia utashtukia hufanyi maendeleo hela zinaishia kugawa kwa watu wasio na faida.
Afu wakipatwaga na masaibu wanakimbilia kwa ndugu hao hao.Vp kuhusu michango ya harusi mleta mda anaongelea virungu kutoka kwa ndugu au jamaa na marafiki, harusi watu wanachangia sana kadi kama 10 unapokea na zote unachangia ila ndugu akiomba msaada malalamiko kibao basi na harusi tuache kuchangia
Watu wanaboa sana bana😅😅Dada mzuri acha uchoyo
Wenye mioyo yao watatoa😅😅kutoa n moyo eti.
Nilishatoa sana badae nikapata funzo.wee hutaki kuwepo?
Tena usikopese kabisaaaAfu ukiwakopa hawalipi. 😅😅😅😅ukidai ugomvi maisha haya
hahaha, daaah vijana mna mambo sanaKuna uzi humu namna ya kukwepa virungu nk mwamba mmoja aliuleta
Ova
Nilishatoa sana badae nikapata funzo.
Af Coca em niache usinichimbe
Wakitoa wengine yatosha😂😂jomoneee nikuchimbe nn, nataka uwe mtoaji bhana.