Chimo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2008
- 714
- 364
Wanajamvi Nipo nje ya nchi kwa muda sasa ila kupitia Runinga nimeona vitu viwili vyenye kunitatiza, kwanza nilitazama Chanel 10 nikaona taarifa kuhusu kuharibika kwa kivuko cha MV.Magogoni kinachofanya kazi kama kawaida yake ya kuvusha watu na mali zao kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Pia nilipata kuangalia Kipindi cha Hot Mix Kutoka EATV Nikaona kuna makubaliano baina ya NSSF na Real Madrid ya uhispania kuhusu kuingia mkataba wa kujenga kituo cha kuendeleza soka youth academy.
Nachotaka kufahamishwa ni kuwa sasa MV. Magogoni ikiwa kweli imeharibika na daraja likiwa limefikia hatua nzuri ya kueza kupitika itakuwa faraja maana daraja hilo navyofahamu linajengwa kwa ufadhili wa shirika la hifadhi taifa ya jamii NSSF ambao sidhani kama watakuwa na chembe ya kuzorotesha uendelevu wa mradi huo. Na kukimbilia kusaini mkataba wa mradi huo mwingine wa real.
Nachotaka kufahamishwa ni kuwa sasa MV. Magogoni ikiwa kweli imeharibika na daraja likiwa limefikia hatua nzuri ya kueza kupitika itakuwa faraja maana daraja hilo navyofahamu linajengwa kwa ufadhili wa shirika la hifadhi taifa ya jamii NSSF ambao sidhani kama watakuwa na chembe ya kuzorotesha uendelevu wa mradi huo. Na kukimbilia kusaini mkataba wa mradi huo mwingine wa real.