Vipi kama tunavyo dhani sivyo mambo jinsi yalivyo?

junior mbani

Member
Sep 16, 2014
52
59
Vipi kama tunavyo dhani sivyo mambo jinsi yalivyo?, mimi sina uhakika na lolote najaribu tu kufikiria.
  • Tulipata uhuru bila kumwaga damu, kupitia Raisi wetu wa kwanza Mwalimu Nyerere,Je aliwashinda kwa hoja wazungu na kweli wakakubali kumpa nchi na uhuru!? Kwasababu alikua hana hata kitu cha kuwatishia, vip kama kuna makubaliano yalikuwepo ambayo hatuyajui? Maana mzungu kuachia lasilimali kizembe!
  • Afrika nchi zetu zina migogoro mingi sana,ya kiuchumi na kiutawala pia. Watu mbali mbali wanatoa sababu zao ambazo wanadhani ndio chanzo cha matatizo yetu. Vipi kama chanzo ni watu fulani ambao wanajua Africa wakitulia vizuri nchi zao zikawa na siasa nzuri basi kuna vitu ambavyo ni faida kwao watavikosa kwaio njia sahihi ni nchi za Africa siziwe na utulivu?.
  • Magonjwa yamekua mengi sana duniani, mengine yalikuwepo tangu enzi za zamani kwenye historia, na sayani imekua suluhisho kubwa la magonjwa mbali mbali kwa jinsi inavyozidi kuku. Vipi kama nyuma ya pazia kuna magonjwa yanayo tengenezwa ulimwenguni kwa manufaa ya watu fulani? Mfano UVIKO 19, huwenda ungonjwa huu ukawa ni manufaa kwa watu fulani.
  • Nchi za Africa kwa sasa haziko chini ya wakoloni kwa maana vitabu vya historia vinasema ukoloni umepita Je ni kweli?, huu ukoloni mambo leo ni kitu cha kufikirika au kipo kweli?, Je kweli hatutawaliwiiii? Tunauwezo wa kufanya maamuzi makubwa wenyewe katika bara letu Afrika kama kuanzisha fedha ya pamoja yenye nguvu kama Euro? Bila kuingiliwa na mataifa ya njee?
  • Mimi sijawahi kusoma nchi za njee wala sifahanu mitaala yao ikoje,lakini sisi kwenye historia tulisoma kuwa binaadamu wa kwanza alikua ni sokwe. Je na wao wanasoma historia hiyo hiyo? Na kama si hivyo walikua wana lengo gani hasa maaana tunatumia mitaaala waliotupa wao. Vip kama kuna mizizi fulani ambayo imewekwa kwa makusudi maaalum?.
- Je, huu ulimwengu ambao tunaishi sisi wananchi wa kawaida ni kweli ndio ulimwengu wanaoshi viongozi na watawala wa nchi? Simaanishi uchumi namaanisha tunavyo dhani sisi, je ndivyo kweli ilivyoo? Vipi kama kuna mambo ya siri mengi sana nyuma ya pazia, na kila kitu kinatokea kwa sababu fulani.
 
Nikujibu tu kwa ufupi nchi ilishauzwa viongoz wko wabadeal zao sio km ww na hawawaz km ww afu nimalize kwa kusema wazungu ni wasenge
 
Baada ya Vita kuu ya pili ya Dunia Marekani iliwaambia Uingereza kuwa gharama za kuwasaidia kivita ni kubwa mno na maisha ya askari wengi vijana yanapotea.

Makubaliano yakawa kuwa Uingereza iyawachie Makoloni yake na kuyapa Uhuru wa Kisiasa yaani Uhuru wa Bendera.

Uingereza ndani ya roho zao hawakutaka kutoa hata huo Uhuru wa Bendera sema ni kwa shinikizo la Marekani.

Ndio ikaandaliwa Ile Speech ya The wind of change na Waziri Mkuu wa Uingereza kama sikosei alikuwa ni Harold Wilson.
 
Hv wakoloni hawaadhiriwi na hi law of karma kwani chochote apandacho mtu ndicho atakachovuna.
 
Baada ya Vita kuu ya pili ya Dunia Marekani iliwaambia Uingereza kuwa gharama za kuwasaidia kivita ni kubwa mno na maisha ya askari wengi vijana yanapotea

Makubaliano yakawa kuwa Uingereza iyawachie Makoloni yake na kuyapa Uhuru wa Kisiasa yaani Uhuru wa Bendera

Uingereza ndani ya roho zao hawakutaka kutoa hata huo Uhuru wa Bendera sema ni kwa shinikizo la Marekani

Ndio ikaandaliwa Ile Speech ya The wind of change na Waziri Mkuu wa Uingereza kama sikosei alikuwa ni Harold Wilson
Je ni kweli maaana haya ni yale yaliowekwa wazi kwa umma kujua historia ya makubaliano yaliotolewa. Je mwenye upande wa pilo ipo hivyo kweli au kulikua kuna makubaliano zaidi ya hayo maaana hadi leo wewe utakua shahidi Afrika haiwezi kufanya maaamuzi makubwa kama bara bila wajamaaa kuweka baraka zao. Je hiii sio uangalizi ili tusivunje maagano?
 
Je ni kweli maaana haya ni yale yaliowekwa wazi kwa umma kujua historia ya makubaliano yaliotolewa. Je mwenye upande wa pilo ipo hivyo kweli au kulikua kuna makubaliano zaidi ya hayo maaana hadi leo wewe utakua shahidi Afrika haiwezi kufanya maaamuzi makubwa kama bara bila wajamaaa kuweka baraka zao. Je hiii sio uangalizi ili tusivunje maagano?
Makubaliano ya siri yalikuwepo ila Vita Baridi kwa kiasi fulani ilichangia kuzikomboa baadhi ya Nchi kwa mfano ukombozi kusini mwa afrika.
 
Ni kweli kabisa ila hayo maaagano ya siri hayo kwanamna moja ama nyingine ndio yanachangia kutuweka kwenye ukoloni mambo leo. Yaaani bado tupo chini yao
 
Back
Top Bottom