Vipi kama Chenge akigombea TLS, Mtalakamika?

G4rpolitics

JF-Expert Member
Jul 29, 2015
4,369
5,248
Ndgu wanabodi hili swala la Lissu kugombea TLS, limeleta mjadala sana, mi nataka kujua, iwapo mwanasiasa yeyote kma vile Chenge akijitosa kugombea, je mtasema serikali ya ccm imeingilia TLS? Tujadiliane kwa ustaraabu na kwa hoja tuache mihemko ya ushabiki.
 
Ndgu wanabodi hili swala la Lissu kugombea TLS, limeleta mjadala sana, mi nataka kujua, iwapo mwanasiasa yeyote kma vile Chenge akijitosa kugombea, je mtasema serikali ya ccm imeingilia TLS? Tujadiliane kwa ustaraabu na kwa hoja tuache mihemko ya ushabiki.
Hapana nisingelalamika, Chenge nae angefaa sana kama alivyo Tundu Lisu
 
Ndgu wanabodi hili swala la Lissu kugombea TLS, limeleta mjadala sana, mi nataka kujua, iwapo mwanasiasa yeyote kma vile Chenge akijitosa kugombea, je mtasema serikali ya ccm imeingilia TLS? Tujadiliane kwa ustaraabu na kwa hoja tuache mihemko ya ushabiki.
As long as ni ccm there's no politics. But the problem is with Tundu, he's a threat ati. Ukitaka kujua ukweli kamuulize jk2
 
Kuna mdau MMU ndani mpaka Leo nakumbuka kauli yake kuwa hata uchaguzi wa Vicoba ccm upenyeza mamluki wao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom