Mnywani
JF-Expert Member
- Apr 2, 2020
- 565
- 613
Uzoefu wa soka la kisasa unaonyesha unaweza kushinda popote, nyumbani au ugenini na sio anayeshinda ugenini anafungwa nyumbani au anayedroo nyumbani lazima akashinde ugenini...timu zetu ziwekeze kwendana na viwango hivyo. Kila la heri watani wa jadi kesho nyote mtoboe kimataifa.