Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

Eeeeeh bwana eeeh? What a story?
Ni kama nilikuwa naangalia movie vile.
Mtiririko wa story ulio na maelezo ya kina kwa kila hatua umenivutia sana.
Siwezi kusubiri jumamosi...damn sipendi pressure za story kama hizi basi tu sina jinsi safari hii nimepatikana.

Story nzuri,kama kawaida hukosei honey
Thank you mama..
Na asante kwa kuruhusu Jana niibe muda wako niandike hii.!
You know how much I love you mtoto mzuri
 
Mkuu The Bold naomba unitag ukiendelea ili nisikose. Naona ni mbali mno. Assume umeitoa last Saturday kwa hiyo iendelee leo. Hahaha.
Hahahahah! Jumamosi karibu tu Mkuu.. Tuombe uzima.. Nitajitajidi kukutag but na wewe jitahidi jumamosi ucheki coz kila jumamosi nitakuwa naweka Episode moja.. Unaweza kusubscribe pia uwe unapata updates..
 
Kwangu naweza kusema najisikia aibu au ni ushamba wangu,unajua kwanini aiwezekani nipate burudani kama bila ya kulipia hii ni zaidi ya furaha kwangu,napata elimu,ufahamu,udambwimbwi kwa vi mb vyangu hakika unatupenda mkuu the bold sina cha kukulipa zaidi ya kukuombea upate kuishi kadri upendavyo,HAPPY NEW YEAR JF
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom