saimon111
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 1,736
- 1,355
Wanajamvi kwanza napenda kuwatakia heri ya pasaka.....
Nimewaza sana inamaana viongozi wetu wa dini walikua hawaelewi uchaguzi wa Zanzibar ulikumbwa na wingu lipi mara ya kwanza mpaka ukatangazwa kubatirishwa ?
Sasa kama walikua wanajua ni uchaguzi batili, swali langu ni je kwanini viongozi wa dini walishiriki kuuapisha uongozi huo kuingia madarakani tena kwa kushika vitabu vitakatifu vya dini ambavyo vinakataza dhuluma pamoja na unafiki....? Au viongozi wetu nao ni wamoja wao ?
Mpaka uchaguzi wa TZA visiwani unarudiwa hatujasikia kiongozi yeyote wa dini aliyenyanyua mdomo na kukemea dhuluma zilizoendelea as if hawakua wanaona kinachoendelea
Nimewaza sana inamaana viongozi wetu wa dini walikua hawaelewi uchaguzi wa Zanzibar ulikumbwa na wingu lipi mara ya kwanza mpaka ukatangazwa kubatirishwa ?
Sasa kama walikua wanajua ni uchaguzi batili, swali langu ni je kwanini viongozi wa dini walishiriki kuuapisha uongozi huo kuingia madarakani tena kwa kushika vitabu vitakatifu vya dini ambavyo vinakataza dhuluma pamoja na unafiki....? Au viongozi wetu nao ni wamoja wao ?
Mpaka uchaguzi wa TZA visiwani unarudiwa hatujasikia kiongozi yeyote wa dini aliyenyanyua mdomo na kukemea dhuluma zilizoendelea as if hawakua wanaona kinachoendelea