johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,977
Nikupe tu mifano Mwita Waitara, Salum Happi, Ole Sabaya, Kasesela, Albert Chalamila na wengine wengi tu wale manaibu waziri ukimtoa Mavunde ni full jazba.
Je, sababu ni nini?
Enzi za Tanu Youth League tulifundishwa namna ya kuhimili vishindo, changamoto na makandokando ya uongozi sina hakika kama UVCCM wanapewa mafunzo yoyote.
Uongozi ni dhana pana na unapoona kiongozi anapambana " kibinafsi" zaidi ujue huyo hana sifa ni kama vile Steve Nyerere anavyoenda kugombea ubunge Iringa mjini ili tu " kumkomesha" mbunge wa jimbo hilo wanaeshare naye mchepuko.
Vijana chapeni kazi acheni jazba na kuuza nyago.
Maendeleio hayana vyama!
Je, sababu ni nini?
Enzi za Tanu Youth League tulifundishwa namna ya kuhimili vishindo, changamoto na makandokando ya uongozi sina hakika kama UVCCM wanapewa mafunzo yoyote.
Uongozi ni dhana pana na unapoona kiongozi anapambana " kibinafsi" zaidi ujue huyo hana sifa ni kama vile Steve Nyerere anavyoenda kugombea ubunge Iringa mjini ili tu " kumkomesha" mbunge wa jimbo hilo wanaeshare naye mchepuko.
Vijana chapeni kazi acheni jazba na kuuza nyago.
Maendeleio hayana vyama!