Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,109
- 18,326
Kwa kweli tuna lakujifunza, kwa viongozi hawa wanao tambua kwamba wana wajibu wa kutuongoza katika mapambano ya corona.
Nilikua na mtu mmoja hapa, akaniambia nisiwe na hofu yoyote, baada ya kumwuliza hofu ya nini akaniambia kwa sasa Tanzania ina hofu ya aina 2.
1. Wale wanaosema hawana hofu na corona wanawahofia wanadamu wengine.
2. Wale wanaosema hawawahofii wanadamu wengine, wanahofu ya corona.
Je, hofu ni mbaya juu ya jambo hatari?
Tuvae mask (barakoa) kwa maisha yetu na ya wengine wanao tuzunguka.
Nilikua na mtu mmoja hapa, akaniambia nisiwe na hofu yoyote, baada ya kumwuliza hofu ya nini akaniambia kwa sasa Tanzania ina hofu ya aina 2.
1. Wale wanaosema hawana hofu na corona wanawahofia wanadamu wengine.
2. Wale wanaosema hawawahofii wanadamu wengine, wanahofu ya corona.
Je, hofu ni mbaya juu ya jambo hatari?
Tuvae mask (barakoa) kwa maisha yetu na ya wengine wanao tuzunguka.