figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Viongozi wakuu wa UKAWA watokea Ngome hivi sasa na wanaelekea Mahakama ya Kisutu kwa ajili ya kusikiliza kesi na mashtaka, ya wale vijana waliokamatwa juzi kwenye tallying centres za UKAWA. Vijana hao wamepelekwa mahakamani muda huu na inavyodaiwa tayari kuna hati ya kuzuia wasipate dhamana.
Baada ya hapo viongozi wakuu watafanya mkutano na waandishi wa habari Katika Ofisi za Kampeni,Ngome Kawe, kuanzia saa 12 jioni.
Itakuwa press yenye uzito.
Baada ya hapo viongozi wakuu watafanya mkutano na waandishi wa habari Katika Ofisi za Kampeni,Ngome Kawe, kuanzia saa 12 jioni.
Itakuwa press yenye uzito.
UKAWA will hold a press conference of its top leadership at 6.00 pm at Ngome(The compaign Office), at Kawe.
Now, they are leaving Ngome to Kisutu Magistrate Court, as the volunteers who were arrested the day before yesterday at our tallying centres have been rushed to the court this afternoon.
Makene