Viongozi wa Yanga Na wenyeviti wa matawi ya Yanga mnazijua Sheria za Soka?

Euphransia

JF-Expert Member
Jan 26, 2017
937
778
Nachukua nafasi hii kuwashauri viongozi wa Yanga wajitahidi kusoma Sheria za Soka Na pia itoe elimu Kwa Wenyeviti wa matawi ya Yanga Juu ya Sheria za Kuna MTU anaitwa Mkemi Kwa jaziba anakimbilia PCCB kulipeleka Soka,Kuwa Mwenyekiti wa tawi eti jumanne anaenda Mahakamani kusimamisha Ligi.Tunawauliza Viongozi wa Yanga hakuna Sheria ya timu kupata Pointi baada ya kukata Rufaa.? Je Sheria inasemaje mchezaji akipewa kadi 3 za njano? Ukweli Viongozi wa Yanga timu Kongwe mnatia Aibu kutokujua Sheria hata Viongozi wa Ndanda wanawashinda.
 
Naomba unijibu sheria inaruhusu mchezo wa fa ukipata kadi hiyo kadi itahesabika mpaka ligi kuu
 
wacha nchi ifungiwe , tuandae timu ya taifa kwanza maana tunapigwa kila tukitia maguu uwanjani
 
Back
Top Bottom