kimbweto
Member
- Oct 6, 2012
- 53
- 189
Viongozi wangu wa Yanga nawaomba muwasajili wachezaji wa Simba hawa ambao wanauwezo na wamekosa nafasi za kucheza
1.Miraji Athuman
2.Hassan Dilunga
3.Jonas Mkude
4.Ibrahim Ajib
5.Kahata
6.Said Ndemla
7.Gradiel Michael
Wachezaji hawa wataleta mchango mkubwa ili na sisi tuwe Yanga ya viwanda
1.Miraji Athuman
2.Hassan Dilunga
3.Jonas Mkude
4.Ibrahim Ajib
5.Kahata
6.Said Ndemla
7.Gradiel Michael
Wachezaji hawa wataleta mchango mkubwa ili na sisi tuwe Yanga ya viwanda