Viongozi wa NCCR - MAGEUZI Tawi la Vijana Jimbo la Nyamagana hawa hapa

GAMBLE

Member
Jun 18, 2014
12
6
NCCR - MAGEUZI ina vijana wanaofanya kazi nzuri ya kujenga chama Jimbo la Nyamagana Jijini Mwanza 1. Mwenyekiti wa Jimbo Ndg Nicholas Jovine Clinton. 2. Katibu wa jimbo Shabani Moshi 3. Muhasibu wa Jimbo Mesharck January. Hii ndiyo craw nzima ya Vijana wanaokitumikia chama wakiongozwa na Clinton Kijana machachali. Hongera NCCR - MAGEUZI "Pamoja Tutashinda"
 
Back
Top Bottom