Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,979
Viongozi wa dini mnayo nafasi yakukemea leo kwa sababu msipowakemea waumini wenu leo mkakaa kimya kesho watachafuka awataweza kuwafuata kutubu na awatataka kukutanisha uso wao na wenu kwa ajili ya majadiliano na kuomba toba.
Kukemea maovu kwa kiongozi wa dini ufanyika kwa kumwangalia Mwenyenzi Mungu na kumwangalia mwanadamu. Mkimweka mwanadamu na mamlaka za Duniani mbele mtashindwa kukemea na mkishindwa kukemea amtopata Tena nafasi yakukemea mambo yakiaribika bali mtakuwa wapatanishi na wasuluhishi kazi ambayo haiitaji kiongozi wa dini.
Msomapo ujumbe huu tambueni ghadhabu iliyowaka kwa waumini wenu haiwezi kutulizwa na Mwanasiasa inatulizwa kiroho kupitia viongozi wao wa kiroho.
TUOMBE HAKI ITAKAYOZAA AMANI
Kukemea maovu kwa kiongozi wa dini ufanyika kwa kumwangalia Mwenyenzi Mungu na kumwangalia mwanadamu. Mkimweka mwanadamu na mamlaka za Duniani mbele mtashindwa kukemea na mkishindwa kukemea amtopata Tena nafasi yakukemea mambo yakiaribika bali mtakuwa wapatanishi na wasuluhishi kazi ambayo haiitaji kiongozi wa dini.
Msomapo ujumbe huu tambueni ghadhabu iliyowaka kwa waumini wenu haiwezi kutulizwa na Mwanasiasa inatulizwa kiroho kupitia viongozi wao wa kiroho.
TUOMBE HAKI ITAKAYOZAA AMANI