Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Tungependa kuskia tamko ktk kwa viongozi wetu wa chama kuhusu kuunga mkono makamanda wenzetu wa Arusha juu sakata la mh. G.LEMA. Tuelezeni tunawaungaje wenzetu mkono? Tuandamane, tukeshe au tufanyaje? TUNAOMBA TAMKO.