mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
Enyi viongozi wa CHADEMA, Chama kiuu cha upinzani, na hasa wa kichaguliwa, mna agenda gani na nchi yetu Tanzania?
Hilo swali naliekeza kwa wafuasi na mashabaki wenu humu JF wawasemee. Kama ilivyo desturi mchangiaji wa kwanza ataweka matusi, tena ya nguoni, kuthibitisha kiwango cha upeo wake wa kujadili hoja.
Nafafanua swali langu kwa hoja zifuatazo:
1) Mnatumia vyombo vya habari kuikashifu Serikali iliyoko madarakani badala ya kuikosoa na kuoshauri kwa mstakabali wa maendeleo ya nchi!
2) Wabunge mnasusia vikao vya bunge badala ya kuwawakilisha wapiga kura!
3) Madiwani mnahamahama chama chenu kinyume na matarajio ya wapiga kura wenu!
Hilo swali naliekeza kwa wafuasi na mashabaki wenu humu JF wawasemee. Kama ilivyo desturi mchangiaji wa kwanza ataweka matusi, tena ya nguoni, kuthibitisha kiwango cha upeo wake wa kujadili hoja.
Nafafanua swali langu kwa hoja zifuatazo:
1) Mnatumia vyombo vya habari kuikashifu Serikali iliyoko madarakani badala ya kuikosoa na kuoshauri kwa mstakabali wa maendeleo ya nchi!
2) Wabunge mnasusia vikao vya bunge badala ya kuwawakilisha wapiga kura!
3) Madiwani mnahamahama chama chenu kinyume na matarajio ya wapiga kura wenu!